Jela maisha kwa kumbaka mwanafunzi

Jela maisha kwa kumbaka mwanafunzi

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Emmanuel Mussa (27), mkulima na mkazi wa Kijiji cha Ighombwe, mkoani Singida, amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mwanafunzi wa darasa la tano wa Shule ya Msingi Ighombwe.

Tukio hilo lilitokea Novemba 12, 2023 katika Kata ya Sepuka, Wilaya ya Ikungi. Baada ya kusikilizwa kwa kesi hiyo katika Mahakama ya Mkoa wa Singida kuanzia Juni 22, 2024, hukumu ilitolewa Agosti 22, 2025 na Hakimu Mhe. Lau Nzoa.

Jeshi la Polisi limetoa wito kwa jamii kushirikiana katika kuwalinda watoto na kusisitiza kuwa halitasita kuchukua hatua kali dhidi ya mtu yeyote atakayehatarisha usalama na haki za watoto.
1756187173601.png
 
Huyo nako Hana akili badala aungane na Sisi kupambana na mafisadi ye anaenda kubaka alishindwa hata kujichua fala kbs
 
Watu hawajui sheria ukibainika unafanya mapenzi na mtoto under 18 ages hii inakuwa kesi ya ubakaji
Ila kama ukikamatwa unafanya mapenzi na above 18 akiwa bado shule utapewa kesi ya kutembea na mwanafunzi kifungo miaka 30
Maana yake kama yuko under 18 na ni mwanafunzi basi utapigwa miaka 60 jera au maisha
 
Kubaka raha sana aseeeee hasa ukute unaem-baka mwenyewe ni bikra aseeeee uta enjoy balaaaa Yani......
 
Watu hawajui sheria ukibainika unafanya mapenzi na mtoto under 18 ages hii inakuwa kesi ya ubakaji
Ila kama ukikamatwa unafanya mapenzi na above 18 akiwa bado shule utapewa kesi ya kutembea na mwanafunzi kifungo miaka 30
Maana yake kama yuko under 18 na ni mwanafunzi basi utapigwa miaka 60 jera au maisha
Naona wana sheria humu mupo wengi sana .....
 
Back
Top Bottom