Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,242
- 113,618
Noma sana!
Mr. Virtual signaling extraordinaire, Jeffrey Toobin, ambaye ni mwanasheria, mchambuzi wa masuala ya sheria CNN, na mwandishi wa gazeti la The New Yorker, wiki iliyopita akiwa kwenye Zoom call na wenzake wa gazeti hilo la New Yorker, akidhani kwamba hayupo tena kwenye hiyo Zoom call, akatoa mali yake na kuanza kujihudumia [kupiga punyeto].
Bila kujua, yeye alikuwa bado yupo kwenye hiyo call na wenzake wakamwona akijichua!
Noma sana.
CNN mum amid claims Jeffrey Toobin masturbated on Zoom call with colleagues