Yuko sahihi, mara nyingi ninapotizama mpira kwenye vibanda hasara, huwa nawaambia watu, tuna tatizo la marking hasa kwenye robo yetu.
Utakuta Kapombe kaenda, kachelewa kurudi, mtu yuko nyuma ya mabeki wawili wa kati peke yake. Mipira ya faulo na kona ndio kabisa, tunategemea mpigaji kichwa akosee au golikipa atusitiri, hakuna mtu na mtu.
Hili kama tusiporekebisha bado kazi tunayo.
Sent from my COR-AL10 using
JamiiForums mobile app