Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,665
Katika hali isiyotarajiwa na wengi katika siku za hivi karibuni, kiongozi muandamizi wa chadema Zzk,alikiandikia barua chama chake ili hali yeye ni mmoja wapo ya viongozi wakuu,
Je zitto alipoandikia cdm barua,means yeye sio member,s?
Je maadili ya chama pamoja na katiba vinasemaje kuhusu malalamiko?
Je zitto anawaonyesha picha gani watanzania kujiandikia barua mwenyewe?
Chadema iitishe kikao cha dharura ili kutoa msimamo wake, haiwezekani mtu ajiandikie barua mwenyewe, amevunja taratibu za chama ikiwemo katiba, ni lazima awajibishwe @cc
Je zitto alipoandikia cdm barua,means yeye sio member,s?
Je maadili ya chama pamoja na katiba vinasemaje kuhusu malalamiko?
Je zitto anawaonyesha picha gani watanzania kujiandikia barua mwenyewe?
Chadema iitishe kikao cha dharura ili kutoa msimamo wake, haiwezekani mtu ajiandikie barua mwenyewe, amevunja taratibu za chama ikiwemo katiba, ni lazima awajibishwe @cc