Si kwamba Zitto kaiangusha serikali ya JK bali wananchi wamefanya hivyo Zitto ni sauti ya watanzania. Ni sauti ya Mungu
Ni wabunge wote waliosaini pamoja na sisi tulionyuma yao. full stop!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hakuna mtu maarufu zaidi ya chama chake! chama kibovu lazima viongozi wake na watu wake wawe wabovu-ubadhilifu wa mawaziri wa JK ni ishara tosha kwamba CCM imechoka kuongoza na haina jipya. Kama ilivyo kwa zito juhudi anazofanya ni juhudi za chadema.......CHADEMA KUIANGUSHA SERIKALI YA KIKWETE? Labda niwakumbushe wanajf kipindi fulani Dr. Slaa alisema tukiamua Kikwete asifike 2015 hafiki-CCM walimkejeli kwa hili so hili vuguvugu halijaisha mwisho wake utafika pale JK atakapopigiwa kura ya kutokuwa na imani nae.
Si kwamba Zitto kaiangusha serikali ya JK bali wananchi wamefanya hivyo Zitto ni sauti ya watanzania. Ni sauti ya Mungu
Si kwamba Zitto kaiangusha serikali ya JK bali wananchi wamefanya hivyo Zitto ni sauti ya watanzania. Ni sauti ya Mungu
Zitto ni sauti ya MUNGU???
Nakunaliana na wewe Zitto anakilisha CDM na hata kama Zitto anaonyesha kujitoa mahanga indirirect atajenga jina lake lakini direct ni lazima jina la chama lipae.
So obvious, madudu ya mawaziri wa CCM ni madudu ya serikali licha ya kuonekana hawafai.
Nashauri tu Zitto watanzania tufunge na kuomba asidhurike na magamba maana wanaamini sana katika shirki na umafia.
Naanza hapa, Eeeeeh Mungu uliyeumba mbingu na ardhi kwa siku saba, na kisha ukaridbia mwanadamu awepo duniani, mlinde mbunge wetu Zitto kabwe na hila zote mbaya za wabaya wake.
Mpe ujasiri na uwaumbue wabaya wake mchana kweupe ili wajue fitna zina mwisho na mkuu wa fitna ni wewe na ndiyo maana ulimtupa Ibilisi mpaka shimoni Jahanam.
Ameni.