Je Ze Komedi imenunuliwa na Mafisadiz?

Mkuu kidzogolae;
Orijino Komedy kuigiza mbele ya Quality Group building still sio evidence ilosimamia kucha.

Kwahiyo hao jamaa wakiigiza mbele ya ofisi za Vodacom au kudhaminiwa na Vodacom utasema imenunuliwa na Mheshimiwa R.A?

Plz kama una maanisha unachotetea then leta hoja with evidence...una haki ya kutoa maoni/fikra zako.

kama una maanisha unachotetea then leta hoja with evidence...una haki ya kutoa maoni/fikra zako
 
Waacheni na wao wafaidi fweza za mafisadi kule kwa Mengi walikuwa wanabaniwa walikuwa wanakula vilaki laki saizi ni mamilioni kwa kurudi nyuma.....
 
Hawa wasanii wa the Comedy nawachukulia kama watu wengineo wowote wanaotafuta maisha ... inawezekana walitufurahisha sana walipokua wanawashambulia mafisadi wakiwa kule eatv ... na inawezekana wasitufurahishe wakiwa tbc1 ... ila wao wameona inalipa (kifedha) wakiwa tbc1.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom