hivi uliyeandika umefikiri kweli. yaani nikute kila nnachokiitaji na hakuna wa kumsemesha. unajua fantasy yangu. kama mtu anapenda wanawake na kaamka kawakuta c atawasemesha.
Umelewa weweUkiamka kesho asubuhi ukakuta dunia ina kila kitu unachokihitaji na hakuna mtu yeyote wa kumsemesha au kumuongelesha yaan umebakia peke yako dunia nzima, Utafanyaje?
Ijumaa Karim!
Ndio nmesema hakuna mtu Ila vitu vipo elewa swali mkuuHutimisho: hao watu wapo katika kilakitu nachohutaji Direct Kama mke na Indirect Kama Waoishi so ukisema eti niwe na kilakitu nachohitaji then watu hawapo hio kauli yakk ni ya uongo hapo vutajimia navyohitaji
Hivi umeelewa hoja yangu haya kaondoe neno "KILAKITU UNACHOHITAJI" au malizia neno "KASORO WATU"Ndio nmesema hakuna mtu Ila vitu vipo elewa swali mkuu
Ukisikia MUNGU KAUMBA KILAKITU au KILAKITU KIMEUMBWA NA MUNGU hua unaelewa nini kwenye hio kilakitu binadamu na viumbe wengine hawausiki??Mwanamke ni mtu sio kitu elewa swali mkuu
Nipe tofauti 2 zilizopo kati ya Mtu na KITUHivi umeelewa hoja yangu haya kaondoe neno "KILAKITU UNACHOHITAJI" au malizia neno "KASORO WATU"
Tukisema kilakitu tunachohitaji tunazunguzia matamanio ya mtu ikijumuisha vitu vyote alivyoumba Mungu hapa hadi viumbe wanaingia
Jamani😃😃😃,, utakua unajiongelesha mwenyewe 😂kwa mtu kama mimi mwenye na upweke, itakua rahisi kuishi....
ntakua najiongelesha mwenyewe