sadi msita Member Joined Mar 10, 2013 Posts 39 Reaction score 28 Jul 2, 2019 #1 Kama wewe ulikuwepo wakati wa Gari hii wewe ni muhenga
Diason David JF-Expert Member Joined Aug 2, 2018 Posts 7,557 Reaction score 7,381 Jul 2, 2019 #2 Hivi kwa uduni ule wa uwenga unaona ni sifa kwako hu ujui jinsi watu walivyo tafuta kila njia kufika huku waliko
Hivi kwa uduni ule wa uwenga unaona ni sifa kwako hu ujui jinsi watu walivyo tafuta kila njia kufika huku waliko
Capitano JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 1,959 Reaction score 1,635 Jul 3, 2019 #3 Lord eyes said: Hivi kwa uduni ule wa uwenga unaona ni sifa kwako hu ujui jinsi watu walivyo tafuta kila njia kufika huku waliko Click to expand... Sasa si ni wahenga ndo walitafuta kila njia kufika huku waliko au?
Lord eyes said: Hivi kwa uduni ule wa uwenga unaona ni sifa kwako hu ujui jinsi watu walivyo tafuta kila njia kufika huku waliko Click to expand... Sasa si ni wahenga ndo walitafuta kila njia kufika huku waliko au?
Manofu JF-Expert Member Joined Nov 3, 2018 Posts 1,317 Reaction score 2,023 Jul 3, 2019 #4 Hizi nimepanda sana mwaka 2013 kwenda kondoa kwahyo namimi ni muenga.