Kiboko ya washamba
Member
- Sep 15, 2012
- 10
- 2
Tulikuwa na rais mkapa kiukweli alikuwa ni mkali na aliyeibinya democrasia, mfano wa kuminya democrasia ni kudumaa kwa vyama vingi, tulishuhudia magazeti mengi tu yakifungiwa.
Kaja KK kaiachia democrasi ichukue nafasi yake na ndio maana hata jamii forum ipo, mpaka waimba hip hop nao wabunge lakini si hivyo tu angalia CHADEMA kimekuwa ghafla na ni maendeleo ya democrasia lkn watu wenye short vision hawaoni maskini, kz ni kulaumu tu kila kitu JK.
Angalia znz ukiondoa hawa vibaraka wanaoendekeza ubora wa mtu rangi sasa wamejumuishwa serikarini lkn bado hawariziki......na nina imani hata Tanganyika baada ya uchaguzi wa 2015 nako kutakuwa na serikali ya umoja wa kitaifa ili angalau ulafi upungue.
MAtokeo ya haya yote kuna mtu nyuma yake ni si mwingine JK.
Kaja KK kaiachia democrasi ichukue nafasi yake na ndio maana hata jamii forum ipo, mpaka waimba hip hop nao wabunge lakini si hivyo tu angalia CHADEMA kimekuwa ghafla na ni maendeleo ya democrasia lkn watu wenye short vision hawaoni maskini, kz ni kulaumu tu kila kitu JK.
Angalia znz ukiondoa hawa vibaraka wanaoendekeza ubora wa mtu rangi sasa wamejumuishwa serikarini lkn bado hawariziki......na nina imani hata Tanganyika baada ya uchaguzi wa 2015 nako kutakuwa na serikali ya umoja wa kitaifa ili angalau ulafi upungue.
MAtokeo ya haya yote kuna mtu nyuma yake ni si mwingine JK.