Je? Waliomaliza stashahada wanapatiwa mkopo

Je? Waliomaliza stashahada wanapatiwa mkopo

Iam_Isma

Member
Joined
Jul 5, 2017
Posts
12
Reaction score
2
Kama title ilivyo guyz nisaidieni kama kuna anae jua issue ya loan kwa waliomaliza stashada wanapatiwa au las?!!!
 
kiujumla walipaswa kupewa kwa vile ni mkopo. kwa kweli sio vizuri. any way ngoja tusubiri vigezo vya bodi.
 
Chief so kwamba nn kuna mtuu kamaliza ordinary diploma anaunga degree ndomana nauliza
Nakumbuka kuna mmoja alimaliza DIT akajoin degree moja kwa moja-walikuja pata wakiwa second year baada ya kusota kwa mwaka mzima. Hopefully HESLB watakuwa wamerekebisha. Wao walikuwa wakiona Diploma hawaangalii kama ni direct from dip to deg wana assume mtu alikuwa anapiga mzigo.
 
Sahauuuuuuuu ww ni mtu mzima una kazi zako mikopo ya watoto walitoka shule
Samahani mkuu ili uwe mtu mzima inabidi uwe na miaka mingapi?maana kuna wale watoto wanaofaulu kwenda chuo wakimaliza o level kama vile must,arusha tech etc,nao wanakua kundi gani kwasababu nao wanakuwa wamemaliza diploma,

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka kuna mmoja alimaliza DIT akajoin degree moja kwa moja-walikuja pata wakiwa second year baada ya kusota kwa mwaka mzima. Hopefully HESLB watakuwa wamerekebisha. Wao walikuwa wakiona Diploma hawaangalii kama ni direct from dip to deg wana assume mtu alikuwa anapiga mzigo.
Tanx much chief I do understand ya...


Sent from my itel it1403+ using JamiiForums mobile app
 
Kama title ilivyo guyz nisaidieni kama kuna anae jua issue ya loan kwa waliomaliza stashada wanapatiwa au las?!!!
Ninachjua kwa wale Co wenye first class wanaoomba MD wanapata grant kabisa NA wale wenye upper sec wanapewa mkopo....sijui guideline ya mwaka huu maana zinabadilikaga kila mwaka

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom