Je, walikiamini walichokihubiri ?


Badala uwalaani hawa CCM wenzio walioingia mikataba ya kijinga na kulisababishia taifa hasara ya matrilioni, wewe umekomaa na Chadema.

We jamaa unazeeka vibaya!
 
Mbona kama hueleweki mzee, unaongelea lowassa/chadema/and kufanyiwa kazi mawazo ya upinzani.?
 
Jambo lolote likipigiwa kelele na upinzani ukitaka upinzani walikane, serikali ilitekeleze, likitekelezwa tu upinzani wanalikana.. Kikubwa JPM aendeshe kwa mujibu wa ILANI ya CCM.. Na yote yapo wazi katika ilani yetu
Na ikifika 2020 watakuwa hawana hoja
 
Mzee mkia umesha anza kuchipua??
 
Hivi aliyeandika makala ndeeeeeeefu ya kumuomba Lowassa msamaha ni huyu au ni mwingine?!
 



Je ccm walivyokuwa wanamtukana Lowassa wakati wa kampeni yalikuwa ndio maadili? Vipi wabunge wa ccm ambao wamekuwa wakitukana waziwazi bungeni? Mkamia alitukana, Selukamba, Kibajaji, na wengine wengi. JPM anatumia lugha kali kuwakashfu wapinzani. Mpendadezo anatafuta cheo
 
Watanzania waliowengi hawataki kujua nani kafanya nini! Nani katufikisha hapa. Watanzania wanataka tunatoka je hapa. Wanataka muafaka wa kudumu wa maovu na unyonyaji wa zaidi ya nusu karne, wachache kunufaika na kuacha wengi wakataanika.
Mivutano ya kisiasa hainatija Kwa wananchi waliowengi.
 
Mkuu ni vyema ukapumzika tu. Hakuna atakayekucheka kwa kukosa ukuu wa wilaya au cheo kingine chochote. Kwa kawaida na kwa asili, makamanda/wabunge na viongozi wa CHADEMA hujenga hoja kwa kuzitafiti na wanapozitoa hawatarajii kusifiwa au kuhongwa cheo. Hufanya kwa dhamira ya dhati kabisa. Chama chako CCM ndicho kilihonga waandishi kuvumisha uzushi kuwa Olaigwanani EL ni fisadi. Kwa muda mlofanikiwa. Baadaye mkapuuzwa. Kwa mujibu wa Time EL alipata 39% ya kura. Ni kweli kuwa waliompigia hawana akili kwa kuwa wamempigia fisadi?
Kumbuka 2007 mlivyoshupalia Zito Kabwe atolewe Bungeni kwa kudanganya Bunge, aliposema Karamagi aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini amesaini mkataba akiwa hotelini. Ilibainika kuwa wabunge wa CCM walidanganya Bunge na si Zito Kabwe. Shida tunazopata sasa zinatokana na watu wa a in a yako wanaoamini kuwa Vyama vya Upinzani haviwezi kuleta maendeleo isipokuwa CCM. My brother, you are very mistaken and lost. What a pity. Hakuna utakachopata CCM zaidi ya aibu.
 
He is a very stupid man!
 
mzee ukome kutupotezea MUDA,

Sote tunataka haki yetu kama Taifa ipatikane ila michezo wanayofanya CCM kuwa ili jambo ni lao ndio litakalo fanya wengine wajione hariwahusu.

Rais atasaidia sana kama akitumia lugha za mlezi kwa watoto kuwafanya wote wajione wako sawa.

mpinzani gani ataunga mkono hoja ambayo inageuzwa na ccm kuwa mtaji wao kisiasa. lets work together as one.

hakuna ubishi kuwa ccm ndio iliyotufikisha hapa, ila sio issue MWIBA UTOKE ULIPOINGILIA

MAJIBU YAKO JUU YA LOWASA HAYA HAPA SOMA MWENYEWE
Fred Mpendazoe: Lowassa tusamehe tuliokuhukumu, nikiwamo mimi!

Ninaona maandiko mengi yakieleza kwamba hatua nyingi zinazochukuliwa na Serikali ya CCM chini ya uongozi mahiri wa JPM, yalisemwa na Chadema kupitia Tundu Lissu au Mnyika au Mbowe. Hii siyo hoja imara.


.
 
CCM-CCJ-CHADEMA-CCM....we babu utakufa ukiwaza uteuzi tu. Jifunze kujitegemea...una watoto wanatakiwa wakuelewe msimamo wako ! Yaani CCM walikuwa wabaya, ukaanzisha CCJ...matapeli wenzio kina Mwakyembe na Sitta wakakuacha kwenye mataa..ukawa frustrated. Ukachekecha weeeee..ukaona demokrasia ipo CHADEMA. Ukajiunga, wakakuteua kugombea, ukashindwa. Hapo ndo ukafilisika mazima. Sasa umeona bora ujisalimishe kwa Magu..Good. Swali CHADEMA imepoteza demokrasia lini, na ilikuwaje ukajiunga nao? Na CCM imekua lini mpaka uone kuna demokrasia zaidi sasa? Pole sana mkuu, kuna maisha nje ya siasa!!!
 


CCJ

Very soon utakabidhiwa Mkoa,
 

Hivi wewe si ulikatwa mkia, unafikiri utateuliwa? Ile m3 uliyohongwa ndiyo mwisho kama hukujipanga imekula kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…