Dini zote tumeaswa katika katika upendo, lakini tumejawa na ubinafsi, mfano unaingia ndani ya chumba cha wagonjwa kumjulia hali mgonjwa wako, lakini kwa ubinafsi unamjulia hali mgonjwa wako tu na unaondoka zako, unasahau kuwa hata hao wengine hata kama hamjuani wanahitaji pole yako. Je! wajisikiaje u mgonjwa kitandani mtu hakujui anakupa pole? ni ukweli usiopongika na inatia sana faraja mtu hakujui kukupa pole.
Unapita njia nyembaba unaona kigae cha chupa na unakiacha, na badaye kumchoma mpita njia mwingine, kumbe unge kiondoa na kukirusha mbali ungemwokoa, hii ni mifano midogo tu kwamba ibada ni maisha haya tunaoyoishi kilasiku. Kushinda makanisani na misikitini huku tukimlilia Mungu kwa haja ya mioyo yetu, kama hatutendi mema sala zetu mbele ya Mungu naamini ni bule.
Angalizo katu simaanishi tusiende makanisani na misikitini ..hapana.. bali namaanisha tunayo fundishwa kuko tuyaishi.
Unapita njia nyembaba unaona kigae cha chupa na unakiacha, na badaye kumchoma mpita njia mwingine, kumbe unge kiondoa na kukirusha mbali ungemwokoa, hii ni mifano midogo tu kwamba ibada ni maisha haya tunaoyoishi kilasiku. Kushinda makanisani na misikitini huku tukimlilia Mungu kwa haja ya mioyo yetu, kama hatutendi mema sala zetu mbele ya Mungu naamini ni bule.
Angalizo katu simaanishi tusiende makanisani na misikitini ..hapana.. bali namaanisha tunayo fundishwa kuko tuyaishi.