the way ulivosema kama vile ni mtoto wa kiboko tu ndie anaeweza kunyonya akiwa majini...lakini umesahau kuna watoto wa nyangumi,au kwa kiboko kuna upekee upi mdau?? ndo hapo naomba unieleweshe..wala sio ugomvi ndugu yangu...
Je wajua utakapohesabu kimaandishi(sio kimatamshi) kwa lugha ya Kiingereza kuanzia namba moja hukutani na herufi A mpaka utakopofika 1000, kifupi ni kwamba kuanzia moja hadi mia tisa tisini na tisa(hakuna herufi A)
Je wajua utakapohesabu kimaandishi(sio kimatamshi) kwa lugha ya Kiingereza kuanzia namba moja hukutani na herufi A mpaka utakopofika 1000, kifupi ni kwamba kuanzia moja hadi mia tisa tisini na tisa(hakuna herufi A)