Je wajua? Kitabu kitakatifu kwa wakristo kijulikanacho kama Biblia kina
[*]Herufi 3,566,480,
[*]Maneno 810,677
[*]Mistari 31,175
[*]Sura 1089
[*]Sura ndefu kuliko zote ni Zaburi 119
[*]Sura fupi kuliko zote ni Zaburi 117
[*]Mstari ambao upo katikati ya biblia (ambako kwenda mbele ni sawa na kurudi nyuma) ni Zaburi 118:8
[*]Jina refu kuliko yote katika biblia linapatikana Isaya 8:1
[*]Neno Bwana linapatikana kwenye biblia mara 1855
[*]Misitari katika biblia inayofanana neno kwa neno ni 2Wafalme 19 na Isaya 37
[*]Mstari mfupi kuliko yote ni Yohana 11:35
[*]Je wataka kujua nini juu ya Biblia?