Ze burner
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 514
- 83
Watu wengi hawafamu hilo kwa kuwa:
1. Size haiandikwi kwenye pakiti.
2. maandishi yanayotumika ni madogo na yamefifia na
3. huandikwa mwishoni mwa mikunjo ya kifaa kicho ambapo watu wengi huwa hawaikunjui hadi mwisho kwa kuwa hawana uwezo wa kufanya hivyo.
Nakujuza tu ili utafute saizi yako.
1. Size haiandikwi kwenye pakiti.
2. maandishi yanayotumika ni madogo na yamefifia na
3. huandikwa mwishoni mwa mikunjo ya kifaa kicho ambapo watu wengi huwa hawaikunjui hadi mwisho kwa kuwa hawana uwezo wa kufanya hivyo.
Nakujuza tu ili utafute saizi yako.