aiseeee babaangu sheria za uchaguzi zinakataza mpiga kura kuvaa au kuvalia nguo yoyote yenye rangi ya chama flani au kuonesha alama cha chama flani,,so mnapotuambia huo ni umoja wa wanawake tanzania mnakosea sana,,,huo ni umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi
naomba kuwasilisha