Umehukumiwa miaka 20 jela. Mkeo anaelewana na judge akupunguzie hadi miaka miwili. Ila amemuhonga huyo judge 'pale kati'.
Baada ya kutoka anakuambia ukweli wa kila kitu.
Utafanya maamuzi gani?
Doh hilo litabaki kuwa donda ndugu kwavle amekuchana live bora akaushe nsijue na sio kuntamkia live kwamba ametoa mzigo ndio ntoke inauma ujue yan imagine yale mataam na vilio vyoote unavyopewa ww ndio judge nae kapewa pia inauma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.