Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
Je ungali unazikumbuka scandal hizi ambazo zimetokea ndani ya taifa letu, tafadhali ongezea kadri unavyokumbuka:
RichMonduli - ilikuwa inakomba Shs 152ml kwa siku
Deepgreen
Meremeta
Kagoda
Majengo pacha ya BoT yaliingiza hasara ya Shs 221 billion;
Import Support
EPA
IPTL
Lakini hakuna anaye nyea ndoo pale Ukonga.
Lakini hivi sasa macho yetu, masikio na microphone za vyombo vya habari zimeelekezwa kwa Babu Loliondo.
Tanzania bwana ni nchi ya matukio kweli kweli. Any way tunasonga mbele kimkandamkanda
RichMonduli - ilikuwa inakomba Shs 152ml kwa siku
Deepgreen
Meremeta
Kagoda
Majengo pacha ya BoT yaliingiza hasara ya Shs 221 billion;
Import Support
EPA
IPTL
Lakini hakuna anaye nyea ndoo pale Ukonga.
Lakini hivi sasa macho yetu, masikio na microphone za vyombo vya habari zimeelekezwa kwa Babu Loliondo.
Tanzania bwana ni nchi ya matukio kweli kweli. Any way tunasonga mbele kimkandamkanda