Je, unazijua adhabu za kujaribu kuzuia uchaguzi mkuu wa nchi uliopo kisheria?

Je, unazijua adhabu za kujaribu kuzuia uchaguzi mkuu wa nchi uliopo kisheria?

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
11,718
Reaction score
27,812
📢 UJUMBE WA KIJAMII: TUHESHIMU SIKU YA UCHAGUZI, UKIFANYA VURUGU KWA KUDANGANYWA USILAUMU MTU

Watanzania wenzangu,
Tarehe 29 Oktoba ni siku muhimu ya kitaifa – siku ya uchaguzi mkuu. Ni siku ya kutekeleza haki yetu ya kikatiba ya kuchagua viongozi, si siku ya kufanya maandamano au vurugu.

Kwa mujibu wa sheria zetu:

1. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 21(1) – Kila Mtanzania ana haki ya kushiriki katika mambo ya siasa ikiwa ni pamoja na kupiga kura na kuchaguliwa.
â–¸ Hii haki haiwezi kuzuiwa na mtu binafsi au kikundi chochote.

2. Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, Kifungu cha 91(1) – Mtu yeyote atakayesababisha vurugu, hofu, au kuzuia mpiga kura kutekeleza haki yake atakuwa ametenda kosa la jinai.
â–¸ Adhabu: Faini isiyopungua shilingi 500,000/= au kifungo kisichopungua miezi 6 au vyote kwa pamoja.

3. Sheria ya Jeshi la Polisi na Huduma za Jamii (Police Force and Auxiliary Services Act, Cap 322) – Inakataza maandamano au mikusanyiko isiyo na kibali, hasa siku za kitaifa muhimu.
â–¸ Adhabu: Faini au kifungo cha hadi miaka 5 kutegemea ukubwa wa kosa.

Kwa hiyo yeyote atakayejihusisha na kupanga au kushiriki maandamano siku ya uchaguzi anavunja sheria na anaweka amani ya taifa hatarini.

Ndugu zangu,
Tujitokeze kupiga kura kwa amani.
Tuwaheshimu wenzetu wanaotaka kutekeleza haki yao ya kikatiba.
Tuwapuuze wanaotaka kugeuza siku ya uchaguzi kuwa siku ya vurugu.

Tanzania kwanza, amani mbele!

USSR
FB_IMG_1758314639865.jpg
 
📢 UJUMBE WA KIJAMII: TUHESHIMU SIKU YA UCHAGUZI, UKIFANYA VURUGU KWA KUDANGANYWA USILAUMU MTU

Watanzania wenzangu,
Tarehe 29 Oktoba ni siku muhimu ya kitaifa – siku ya uchaguzi mkuu. Ni siku ya kutekeleza haki yetu ya kikatiba ya kuchagua viongozi, si siku ya kufanya maandamano au vurugu.

Kwa mujibu wa sheria zetu:

1. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 21(1) – Kila Mtanzania ana haki ya kushiriki katika mambo ya siasa ikiwa ni pamoja na kupiga kura na kuchaguliwa.
â–¸ Hii haki haiwezi kuzuiwa na mtu binafsi au kikundi chochote.

2. Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, Kifungu cha 91(1) – Mtu yeyote atakayesababisha vurugu, hofu, au kuzuia mpiga kura kutekeleza haki yake atakuwa ametenda kosa la jinai.
â–¸ Adhabu: Faini isiyopungua shilingi 500,000/= au kifungo kisichopungua miezi 6 au vyote kwa pamoja.

3. Sheria ya Jeshi la Polisi na Huduma za Jamii (Police Force and Auxiliary Services Act, Cap 322) – Inakataza maandamano au mikusanyiko isiyo na kibali, hasa siku za kitaifa muhimu.
â–¸ Adhabu: Faini au kifungo cha hadi miaka 5 kutegemea ukubwa wa kosa.

Kwa hiyo yeyote atakayejihusisha na kupanga au kushiriki maandamano siku ya uchaguzi anavunja sheria na anaweka amani ya taifa hatarini.

Ndugu zangu,
Tujitokeze kupiga kura kwa amani.
Tuwaheshimu wenzetu wanaotaka kutekeleza haki yao ya kikatiba.
Tuwapuuze wanaotaka kugeuza siku ya uchaguzi kuwa siku ya vurugu.

Tanzania kwanza, amani mbele!

USSR
View attachment 3476493

Matumizi mabaya kabisa ya VPN
 
Mtu kama huyu amekula na kushiba, kwa ubinafsi wake haoni kuna watanzania wenzake kwa sababu ya kukandamizwa na sheria na katiba mbovu wanaumizwa kila siku.

Yeye kaamua kuja na mashudu, kjna nyuzi wala sio za kusoma.
 
📢 UJUMBE WA KIJAMII: TUHESHIMU SIKU YA UCHAGUZI, UKIFANYA VURUGU KWA KUDANGANYWA USILAUMU MTU

Watanzania wenzangu,
Tarehe 29 Oktoba ni siku muhimu ya kitaifa – siku ya uchaguzi mkuu. Ni siku ya kutekeleza haki yetu ya kikatiba ya kuchagua viongozi, si siku ya kufanya maandamano au vurugu.

Kwa mujibu wa sheria zetu:

1. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 21(1) – Kila Mtanzania ana haki ya kushiriki katika mambo ya siasa ikiwa ni pamoja na kupiga kura na kuchaguliwa.
â–¸ Hii haki haiwezi kuzuiwa na mtu binafsi au kikundi chochote.

2. Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, Kifungu cha 91(1) – Mtu yeyote atakayesababisha vurugu, hofu, au kuzuia mpiga kura kutekeleza haki yake atakuwa ametenda kosa la jinai.
â–¸ Adhabu: Faini isiyopungua shilingi 500,000/= au kifungo kisichopungua miezi 6 au vyote kwa pamoja.

3. Sheria ya Jeshi la Polisi na Huduma za Jamii (Police Force and Auxiliary Services Act, Cap 322) – Inakataza maandamano au mikusanyiko isiyo na kibali, hasa siku za kitaifa muhimu.
â–¸ Adhabu: Faini au kifungo cha hadi miaka 5 kutegemea ukubwa wa kosa.

Kwa hiyo yeyote atakayejihusisha na kupanga au kushiriki maandamano siku ya uchaguzi anavunja sheria na anaweka amani ya taifa hatarini.

Ndugu zangu,
Tujitokeze kupiga kura kwa amani.
Tuwaheshimu wenzetu wanaotaka kutekeleza haki yao ya kikatiba.
Tuwapuuze wanaotaka kugeuza siku ya uchaguzi kuwa siku ya vurugu.

Tanzania kwanza, amani mbele!

USSR
View attachment 3476493
This is really crap if not stupidity.

Kama una akili timamu, kamkamate yule wa tume bandia ya uchaguzi aliyewazuia CHADEMA wasishiriki uchaguzi.

Kama uwendawazimu wako haujavuka mipaka, kamkamate Sa100 alitemweja ndani Lisu ili asishiriki uchaguzi.

Kama huyawezi hayo, jipige kifuani mara tatu, ukitamka, 'mimi punguani, kwa sababu sielewi hata nilivhoandika"
 
📢 UJUMBE WA KIJAMII: TUHESHIMU SIKU YA UCHAGUZI, UKIFANYA VURUGU KWA KUDANGANYWA USILAUMU MTU

Watanzania wenzangu,
Tarehe 29 Oktoba ni siku muhimu ya kitaifa – siku ya uchaguzi mkuu. Ni siku ya kutekeleza haki yetu ya kikatiba ya kuchagua viongozi, si siku ya kufanya maandamano au vurugu.

Kwa mujibu wa sheria zetu:

1. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 21(1) – Kila Mtanzania ana haki ya kushiriki katika mambo ya siasa ikiwa ni pamoja na kupiga kura na kuchaguliwa.
â–¸ Hii haki haiwezi kuzuiwa na mtu binafsi au kikundi chochote.

2. Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, Kifungu cha 91(1) – Mtu yeyote atakayesababisha vurugu, hofu, au kuzuia mpiga kura kutekeleza haki yake atakuwa ametenda kosa la jinai.
â–¸ Adhabu: Faini isiyopungua shilingi 500,000/= au kifungo kisichopungua miezi 6 au vyote kwa pamoja.

3. Sheria ya Jeshi la Polisi na Huduma za Jamii (Police Force and Auxiliary Services Act, Cap 322) – Inakataza maandamano au mikusanyiko isiyo na kibali, hasa siku za kitaifa muhimu.
â–¸ Adhabu: Faini au kifungo cha hadi miaka 5 kutegemea ukubwa wa kosa.

Kwa hiyo yeyote atakayejihusisha na kupanga au kushiriki maandamano siku ya uchaguzi anavunja sheria na anaweka amani ya taifa hatarini.

Ndugu zangu,
Tujitokeze kupiga kura kwa amani.
Tuwaheshimu wenzetu wanaotaka kutekeleza haki yao ya kikatiba.
Tuwapuuze wanaotaka kugeuza siku ya uchaguzi kuwa siku ya vurugu.

Tanzania kwanza, amani mbele!

USS
"Two things are infinity: the universe and human stupidity and I'm not sure about universe."
Albert Einstein
 
Laki 5 kitu gani bhana! Mimi nitaandamana. Hiyo ni haki yangu ya Kikatiba. Tutakutana Mahakamani kwenye Committal proceedings.
 
Kwahy ss hv mwendo wa vifungu vya sheria tu.
 
Je unajua adhabu ya kuhujumu nchi kwa ufisadi?


Je unajua adhabu ya kumuua mwanadamu mwenzio?

Kama wewe hayo Makosa makubwa na adhabu zake huviogopi kwa nini unataka wengine waogope.
 
Amani ya kuteka watu, kuua , kuwatoboa macho, kuwapiga risasi, ufisadi? Kuiba kura, hakuna uhuru wa kujieleza, kukandamiza wapinzani...

Hio ndio amani mnayotaka idumu...?

Hivi mna sifa zozote za kuhubiri kuhusu amani?
 
📢 UJUMBE WA KIJAMII: TUHESHIMU SIKU YA UCHAGUZI, UKIFANYA VURUGU KWA KUDANGANYWA USILAUMU MTU

Watanzania wenzangu,
Tarehe 29 Oktoba ni siku muhimu ya kitaifa – siku ya uchaguzi mkuu. Ni siku ya kutekeleza haki yetu ya kikatiba ya kuchagua viongozi, si siku ya kufanya maandamano au vurugu.

Kwa mujibu wa sheria zetu:

1. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 21(1) – Kila Mtanzania ana haki ya kushiriki katika mambo ya siasa ikiwa ni pamoja na kupiga kura na kuchaguliwa.
â–¸ Hii haki haiwezi kuzuiwa na mtu binafsi au kikundi chochote.

2. Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, Kifungu cha 91(1) – Mtu yeyote atakayesababisha vurugu, hofu, au kuzuia mpiga kura kutekeleza haki yake atakuwa ametenda kosa la jinai.
â–¸ Adhabu: Faini isiyopungua shilingi 500,000/= au kifungo kisichopungua miezi 6 au vyote kwa pamoja.

3. Sheria ya Jeshi la Polisi na Huduma za Jamii (Police Force and Auxiliary Services Act, Cap 322) – Inakataza maandamano au mikusanyiko isiyo na kibali, hasa siku za kitaifa muhimu.
â–¸ Adhabu: Faini au kifungo cha hadi miaka 5 kutegemea ukubwa wa kosa.

Kwa hiyo yeyote atakayejihusisha na kupanga au kushiriki maandamano siku ya uchaguzi anavunja sheria na anaweka amani ya taifa hatarini.

Ndugu zangu,
Tujitokeze kupiga kura kwa amani.
Tuwaheshimu wenzetu wanaotaka kutekeleza haki yao ya kikatiba.
Tuwapuuze wanaotaka kugeuza siku ya uchaguzi kuwa siku ya vurugu.

Tanzania kwanza, amani mbele!

USSR
View attachment 3476493
HAKI BAADAE
 
Mtu kama huyu amekula na kushiba, kwa ubinafsi wake haoni kuna watanzania wenzake kwa sababu ya kukandamizwa na sheria na katiba mbovu wanaumizwa kila siku.

Yeye kaamua kuja na mashudu, kjna nyuzi wala sio za kusoma.
We hapo ulipo ni sheria gani imekukandamiza?
 
Back
Top Bottom