Je unataka ku update Tecno Camon C8 yako?

Yaan Mimi hiyo mifumo yao ishanizingua maana Niki update hios inaniwekea hi manager tu yaan hata siielew
Hizo update zipo mbili kuna waliyo itoa mwanzo hiyo Hi manager, halafu kuna marshmallow yenye Hios. Ambayo ina mb 868. Lkn wengi walio iweka wanaishia kulala mika tu, afadhali ubaki na hiyo lollipop tu.
 
Salamu wapendwa,simu yangu ni boom j8,kila nikiwasha data inataka niiupdate,nikifanya hivi inaenda vizuri mpaka ina boot,mwisho inasoma failled,naombeni msaada wapendwa
 
Hiyo final update inatoka lini mkuu?walisema watatoa final update?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…