EBBAH
Member
- May 8, 2017
- 75
- 75
Husika na kichwa cha habari, kwa nafasi yoyote ya kazi ndani ya Dar es Salaam ambayo unadhani itahitaji mtu mwenye sifa zifuatazo,tafadhali tuwasiliane (0716 403214)
Wasifu wa mwombaji:
JINA: (limehifadhiwa)
JINSIA: KE
UMRI: miaka 26
ELIMU: Zaidi ya kidato cha 6
MAKAZI: Dar es Salaam
Uzoefu wa Kazi:
1-Hotel receptionist
2-Sales representative
3-Cashier
4-Shop manager
Taaluma ya ziada:
1-Basic computer application skills
Sifa binafsi:
1-Mchapakazi
2-Muaminifu
3-Mbunifu
4-Mwenye lugha nzuri ya biashara
5-Mwenye uwezo wa kujifunza haraka
6-Mwenye uwezo wa kuongea na kuandika Kiingereza
7-Mwenye uwezo wakufanya kazi mazingira yote
NB: Ukivutiwa na sifa hizi, usisite kutoa fursa kwa kijana wa kitanzania. Ahsante.
Wasifu wa mwombaji:
JINA: (limehifadhiwa)
JINSIA: KE
UMRI: miaka 26
ELIMU: Zaidi ya kidato cha 6
MAKAZI: Dar es Salaam
Uzoefu wa Kazi:
1-Hotel receptionist
2-Sales representative
3-Cashier
4-Shop manager
Taaluma ya ziada:
1-Basic computer application skills
Sifa binafsi:
1-Mchapakazi
2-Muaminifu
3-Mbunifu
4-Mwenye lugha nzuri ya biashara
5-Mwenye uwezo wa kujifunza haraka
6-Mwenye uwezo wa kuongea na kuandika Kiingereza
7-Mwenye uwezo wakufanya kazi mazingira yote
NB: Ukivutiwa na sifa hizi, usisite kutoa fursa kwa kijana wa kitanzania. Ahsante.