Je Unahitaji Huduma ya Career Counselling?

Je Unahitaji Huduma ya Career Counselling?

Masokotz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,913
Reaction score
6,603
Habari za Jumamosi;

Wengi wameathiriwa na machaguo wanayofanya katika safari yao ya kitaaluma.Madhara hayo wameyapata ama kwa kufanya vibaya katika mitihani mbalimbali,kukosa ajira/fani au hata kujikuta katika aina ya kazi ambazo ama hawazifurahii au haziwapi kiwango cha mafanikio wanayohitaji katika maisha yao.

Pamoja na sababu nyingi moja ya sababu kubwa kabisa ambayo huchangia hali hii ni kukosa ushauri na ufuatiliaji mdogo kutoka kwa walimu, walezi na wahusika wengineo.

Umoja Colleges kwa kutambua umuhimu wa elimu na maarifa katika kumpa mtu fursa ya kuishi maisha ya furaha na mafanikio tumeanzisha huduma ya kipekee kabisa ya Career Counseling ambayo inalenga watoto wenye umri wa kati ya Miaka 9 hadi 16 kwa kundi la watoto na kuanzia miaka 17 hadi 35 kwa kundi la watu wazima.


Huduma zinazotolwa kwa kundi la watoto litahusisha huduma za Career Evaluation,Career Mapping,Strategy Pamoja Na Monitoring ambayo itakuwa katika mfumo wa 360 degrees yaani Yatachukuliwa maoni ya mzazi,mwanafunzi,mwalimu na ripoti nyinginezo ili kuweza kuelewa kwa kina uelekeo wa mtoto katika taaluma na maisha yake.

Kwa upande wa Huduma hii kwa wakubwa ie 17 hadi 35 maeneo yatakuwa ni yale yale ya Career Evaluation,Career Mapping,Strategy Pamoja Na Monitoring ila itajikita zaidi katika self evaluation kuliko others evaluation.Hata hivyo iwapo utapenda kufanyiwa evaluation na watu unaowaamini au watu wako wa karibu unaweza kufanyiwa ingawa haitakuwa ni lazima.

Huduma hii inapatikanaje?

Huduma hii inapatikana kwa njia ya SIMU au kwa NJIA ya internet au zote kwa pamoja

Mteja hataonana na Mtaalamu wake bali watakuwa wakiwasiliana Mara kwa Mara kwa kuzingatia malengo na matokeo.

Faida za huduma hii ni kwamba itakuwezesha kumuongoza mwanao au wewe kujiongoza mwenyewe katika uelekeo unaofaa.

Gharama za huduma hii ni nafuu.

Kwa wale waliohitimu masomo ya Sociology,Psychology,Education,Walimu wastaafu na ambao wangependa kufanya kazi za kuwa mentors kwa njia ya mtandao katika project hii mnaweza pia kutuma maelezo mafupi ya kueleza nia yenu ya kushiriki.

Huduma kwa Sasa inapatikana kwa wakazi wa Mikoa ya Arusha,Moshi,Dar es Salaam,Mwanza,Dodoma,Manyara,Mbeya,Morogoro,Iringa,Shinyanga na Geita.

Kwa mawasiliano zaidi kuhusu mradi huu tafadhali wasiliana nasi kwa email: info@umojacolleges.sc.tz


Kumbuka huduma hii ni muhimu sana hasa unapoelekea mwaka 2022.

Kazi iendelee
 
Brother hapo kwa njia ya simu,, uongo brother,, nadhan on counselling non verbal cues ni muhimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo Sahihi Kabisa lakini hata hivyo techniques zetu tunazotumia ni za CBT ambazo hazilazimishi kuonana na mtaalamu bali zinazingatia zaidi matokeo na mutual aggreements.Hata hivyo Face to Face Session zitakuwepo tukishatengeneza Capability.
 
Brother cognitive behavioral therapy haihitaj kuonana,,?[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] Huu ni mwaka wa 3 nasoma psychology sijawah kuona hcho kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,Kama unasoma Psychology basi tunakubaliana kwamba Therapy nyingi zinahitaji Face to face meeting.Hata hivyo kwa case hii ya Career Counselling tunayotoa sisi tunaangalia zaidi personal evidenced traits/behaviours ambazo mtu anaweza kuzifanyia maboresho mwenyewe huku sisi tukifanya follow up na kumpa sense of accountability.
SO YES CBT can be administered over the phone and can be effective.Constraints yetu hapa ni Resources tukiweka hii huduma iwe face to face only tutalimit watu wengi na pia kwa strategy tunayotumia tunaamni kabisa kwamba itakuwa effective.
Kukiwa na ulazima tutaicomplement na face to face sessions ila kwa sasa Itakuwa ni remote.

Karibu Kiongozi
 
Mkuu,Kama unasoma Psychology basi tunakubaliana kwamba Therapy nyingi zinahitaji Face to face meeting.Hata hivyo kwa case hii ya Career Counselling tunayotoa sisi tunaangalia zaidi personal evidenced traits/behaviours ambazo mtu anaweza kuzifanyia maboresho mwenyewe huku sisi tukifanya follow up na kumpa sense of accountability.
SO YES CBT can be administered over the phone and can be effective.Constraints yetu hapa ni Resources tukiweka hii huduma iwe face to face only tutalimit watu wengi na pia kwa strategy tunayotumia tunaamni kabisa kwamba itakuwa effective.
Kukiwa na ulazima tutaicomplement na face to face sessions ila kwa sasa Itakuwa ni remote.

Karibu Kiongozi
Trust me,,it won't be effective kama itaishia kwa phone

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom