Je, unahisi tatizo la Simba ni Nini?

Je, unahisi tatizo la Simba ni Nini?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,855
Reaction score
32,657
Nilicho kuja kugundua imefikia hatua hata Wana Simba baadhi wameshindwa kujua tatizo la Simba lilipo.

Leo tumalize Utata, hivi tatizo la Simba kufanya vibaya ni nini hasa

Hypothesis.....
Tatizo ni uongozi , mdhamini .... wachezaji au ni kocha .,....pia tuambie how impact one another
1767943375266.jpg
 
Mapito tu hali hii anapitia Manchester United moja ya klabu kubwa pale Uingereza.

Lakini hata Real Madrid moja ya klabu kubwa Duniani mwaka Jana ilipitia magumu kidogo,hata sasa haijaa kaa sawa.

Pia Nyakati hizi Yanga iliwahi pitia,na baadhi yaashabiki wenye mioyo miepesi walihama timu so Simba ni timu kubwa na itafanya vizuri.

Asitafutwe mchawi badala yake iandaliwe mipango mikakati kuisuka upya naamini kila kitakaa sawa
 
Nilicho kuja kugundua imefikia hatua hata Wana Simba baadhi wameshindwa kujua tatizo la Simba lilipo.

Leo tumalize Utata, hivi tatizo la Simba kufanya vibaya ni nini hasa

Hypothesis.....
Tatizo ni uongozi , mdhamini .... wachezaji au ni kocha .,....pia tuambie how impact one another View attachment 3527301
mbona rahisi, tatizo ni ngungu boy! hata kikao tu hawezi kukimaliza salama!
 
Mapito tu hali hii anapitia Manchester United moja ya klabu kubwa pale Uingereza.

Lakini hata Real Madrid moja ya klabu kubwa Duniani mwaka Jana ilipitia magumu kidogo,hata sasa haijaa kaa sawa.

Pia Nyakati hizi Yanga iliwahi pitia,na baadhi yaashabiki wenye mioyo miepesi walihama timu so Simba ni timu kubwa na itafanya vizuri.

Asitafutwe mchawi badala yake iandaliwe mipango mikakati kuisuka upya naamini kila kitakaa sawa
mimi ni Simba fans ila kinachoendelea pale simba ni upumbavu na upuuzi wa hali ya juu
 
mimi ni Simba fans ila kinachoendelea pale simba ni upumbavu na upuuzi wa hali ya juu
Ni sawa kabisa mkuu lakini ni ninikifanyike tutoke hapa tulipoko? maana kila siku tunazidi kudidimia kwakweli, inaumiza sana.
 
Mapito tu hali hii anapitia Manchester United moja ya klabu kubwa pale Uingereza.

Lakini hata Real Madrid moja ya klabu kubwa Duniani mwaka Jana ilipitia magumu kidogo,hata sasa haijaa kaa sawa.

Pia Nyakati hizi Yanga iliwahi pitia,na baadhi yaashabiki wenye mioyo miepesi walihama timu so Simba ni timu kubwa na itafanya vizuri.

Asitafutwe mchawi badala yake iandaliwe mipango mikakati kuisuka upya naamini kila kitakaa sawa
Kwakweli inahitaji uvimilivu sana na viongozi wetu wanapashwa kutumia hekima na busara sana ktk kuijenga upya timu, waki pagawa watafanya maamuzi tutaishia njiani kila mara.
 
Ni sawa kabisa mkuu lakini ni ninikifanyike tutoke hapa tulipoko? maana kila siku tunazidi kudidimia kwakweli, inaumiza sana.
Inatakiwa club iongozwe na watu wenye akili timamu wenye vision tena vijana...pia scout wawe professional kbsa sio kukurupuka wakati wa usajili Quality player wazingatiwe
 
Inatakiwa club iongozwe na watu wenye akili timamu wenye vision tena vijana...pia scout wawe professional kbsa sio kukurupuka wakati wa usajili Quality player wazingatiwe
Ni kweli ulisemalo sasa shida kuna msamiati wa watu kukubali kuwajibika ndio mgumu sana, wangekubali tu jamani wasahabiki tuna taabika sana.
 
Ni kweli ulisemalo sasa shida kuna msamiati wa watu kukubali kuwajibika ndio mgumu sana, wangekubali tu jamani wasahabiki tuna taabika sana.
Wajinga wanasubiri wafike point of return ndio akili ziwakae sawa,
 
Mapito tu hali hii anapitia Manchester United moja ya klabu kubwa pale Uingereza.

Lakini hata Real Madrid moja ya klabu kubwa Duniani mwaka Jana ilipitia magumu kidogo,hata sasa haijaa kaa sawa.

Pia Nyakati hizi Yanga iliwahi pitia,na baadhi yaashabiki wenye mioyo miepesi walihama timu so Simba ni timu kubwa na itafanya vizuri.

Asitafutwe mchawi badala yake iandaliwe mipango mikakati kuisuka upya naamini kila kitakaa sawa
Yanga walikuwa na tatizo la kifedha...but Simba wapo financially stable
 
Back
Top Bottom