Je, unadhani itakuwa ni faida au hasara?

STUNTER

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
13,076
17,246
Kwamfano kukawa na teknolojia ya kuwauwa Mbu woote Duniani,
Alafu hiyo teknolojia ikatumiwa kisha
Matokeo yake mbu woote wakauwawa,
Je, Unadhani itakuwa ni faida kimazingira & kiuchumi, au itakuwa ni hasara?
Karibuni tujadili
0c298aa50300fbbf19c90b17a2a4eb88.jpg
 
Kiuchumi mbona iko wazi kwa kampuni zinazotengeneza madawa ya malaria kufungwa...pia kimazingira kwa upande wangu mbu lazima wawepo ili kubalance ecosystem..so hizo ni hasara
 
La msingi ni kujua impact ya mbu ni nin kiuchumi na kimazingra
Mbu ataleta malaria so from malaria ndio hapo kuna

hosptal which is money,
Mosquito nets which is money
Dawa za kutibu malaria equals to money
Dawa za kuzuia mazalia ya mbu equals to money
Research za kuhus malaria its money
Kifo - Majeneza sanda wachimba makaburi and vya namna hyo


Ukiua mbu wote - No malaria
If no malaria hvyo vyote hapo juu haviwez kutokea
No death caused by malaria so watu watabakia hai watajishuhulisha na mambo mengne
Wafanyakaz wote ambao wanahusika na hvyo hapo Juu hakuna ajira/ Zitapungua ajira
Eco system haitakamilika

So kwangu mim mbu ana faida zaid akiendlea ku exist kuliko akikufa.
 
Kiuchumi mbona iko wazi kwa kampuni zinazotengeneza madawa ya malaria kufungwa...pia kimazingira kwa upande wangu mbu lazima wawepo ili kubalance ecosystem..so hizo ni hasara
Sasa tuangalie kwa upande wa nguvukazi inayotoweka kutokana na vifo vya malaria, na wale wasiokwenda makazini kutokana na malaria,
vilevile tuangalie wale raia wa kigeni wanaoogopa kuja kwenye nchi zenye mbu kwa kuhofia kuugua.
Hebu wazia kwanza kiuchumi ukianzia na hapo
 
itakuwa faida aisee, kwa maana hamna ninachochukia kama sauti ya mbu masikioni mwangu
 
La msingi ni kujua impact ya mbu ni nin kiuchumi na kimazingra
Mbu ataleta malaria so from malaria ndio hapo kuna

hosptal which is money,
Mosquito nets which is money
Dawa za kutibu malaria equals to money
Dawa za kuzuia mazalia ya mbu equals to money
Research za kuhus malaria its money
Kifo - Majeneza sanda wachimba makaburi and vya namna hyo


Ukiua mbu wote - No malaria
If no malaria hvyo vyote hapo juu haviwez kutokea
No death caused by malaria so watu watabakia hai watajishuhulisha na mambo mengne
Wafanyakaz wote ambao wanahusika na hvyo hapo Juu hakuna ajira/ Zitapungua ajira
Eco system haitakamilika

So kwangu mim mbu ana faida zaid akiendlea ku exist kuliko akikufa.
Kwanza suala la eco system naomba ulitoe, kwasababu zipo nchi ambazo mbu hawezi kuishi, au hayupo kabisaaa,
je unataka kusema kwamba kule eco system haifanyiki kikamilifu?
na je Vipi kiuchumi tunawafikia??
Vipi maisha yao yanayumba au sisi ndio tunayumba?
Hiyo ni kiuchumi
na ukija kijamii mbu husababisha vifo vingi sana na kupitia vifo hivyo ndo watoto wa mitaani wanapopatikana, makampuni yanakufa kutokana na vifo hivyohivyo,
serikali inapata hasara ya kumwaga hela nyingi zaidi kwenye kuidhibiti malaria na bado hali ni tete.
Huoni kwamba mbu akitoweka angalau unafuu utapatikana?
 
itakuwa faida aisee, kwa maana hamna ninachochukia kama sauti ya mbu masikioni mwangu
Kweli mkuu,
manake mi nahisi ninatumia gharama kubwa kujilinda na mbu kupitia kununua vyandarua, kununua mosquito reppllnt,
alafu pia wananikosesha amani hasa nikianza kuhisi dalili ya homa basi mawazo yananipelekea ni malaria,
pia kuna sehemu inanilazimu niziepuke kuzifika kutokana na uwepo wa malaria... Hasara wanazosababisha mbu ni kubwa
 
Kweli mkuu,
manake mi nahisi ninatumia gharama kubwa kujilinda na mbu kupitia kununua vyandarua, kununua mosquito reppllnt,
alafu pia wananikosesha amani hasa nikianza kuhisi dalili ya homa basi mawazo yananipelekea ni malaria,
pia kuna sehemu inanilazimu niziepuke kuzifika kutokana na uwepo wa malaria... Hasara wanazosababisha mbu ni kubwa
Ndio na malaria ni ugonjwa tishio sana mkuu
 
Mbu wanabalance nini kwenye ecology??

Mkuu biology yangu ya siku nyingi sana inanieleza hivi...Mosquitoes are part of a complex food web. Many fish feed on mosquito larvae, which are aquatic, and plenty of birds and spiders and other insects feed on the adults. Dragonflies and damselflies love mosquitoes. Frogs eat adult mosquitoes, tadpoles eat the larvae....hadi hapo wanakamilisha ecosystem...
 
Mkuu biology yangu ya siku nyingi sana inanieleza hivi...Mosquitoes are part of a complex food web. Many fish feed on mosquito larvae, which are aquatic, and plenty of birds and spiders and other insects feed on the adults. Dragonflies and damselflies love mosquitoes. Frogs eat adult mosquitoes, tadpoles eat the larvae....hadi hapo wanakamilisha ecosystem...
Sasa hao wanyama si watategemea chakula kingine tofauti na mbu..wadudu mbona wako shazi mkuu
 
Sasa hao wanyama si watategemea chakula kingine tofauti na mbu..wadudu mbona wako shazi mkuu

Mkuu ukisema ecosystem upande wa faida ni huo kila kitu kana faida na hasara zake.Hawakuumbwa kwa makosa..hasara kwangu au kwako ni faida kwa mwingine au kiumbe kingine...kila kiumbe kilichopo kina umuhimu katika kubalance ecosystem
 
Mkuu ukisema ecosystem upande wa faida ni huo kila kitu kana faida na hasara zake.Hawakuumbwa kwa makosa..hasara kwangu au kwako ni faida kwa mwingine au kiumbe kingine...kila kiumbe kilichopo kina umuhimu katika kubalance ecosystem
nimekupata mkuu
 
Mbu wapo kwenye kundi la wadudu.Kwa vyovyote vile hiyo technology inaweza kudhuru jamii nyingine za wadudu kama vile nyuki na kuleta hasara kubwa kuliko faida.
 
Kutakuwa oa faida kwa sababu malaria ni kwazo. Pia kwa mda flan viwanda vya dawa vitapata hasa kwan kutakuwa na fall down of malaria's drugs production.
 
Back
Top Bottom