mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,951
- 131,272
Ah, mkuu we unaongea tu. Mi mwezi uliopita nimetimba loji na demu, sasa ile tumeingia tu room hatujafanya chochote ndio nataka niagize vinywaji namuuliza demu unatumia kinywaji gani..?
Demu ananijibu "Daah.. yani hapa ata sijui ninywe nini maana nna kama wiki sisikii ladha wala harufu ya kitu chochote..!" Wee... nikauona uviko huu hapa mwanangu.. nilivyomtoka pale ni Mungu mwenyewe anajua.