Je umeshawai kupewa nafasi ya pili baada ya kughafilika

Je umeshawai kupewa nafasi ya pili baada ya kughafilika

Papillon 1906

Senior Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
117
Reaction score
387
Katika safari ya maisha uwezi kufanya mambo yote kwa usahii lazima kunapahala utaghafilika na kukosea katika uwajibikaji.

Inafaa mtu anapokosea apewe nafasi nyingine ya kuweza kubadilika na kufanya vizuri.

Je kipi ulifanya baada ya kupewa nafasi ya pili?
 
Nafasi ya pili nilipataa baada ya kupata ajali mlima kitonga 2017 na kuponaa na mpk ss napumuaa ...

Hakuna Hali inayodumu Kwenye maishà
 
Back
Top Bottom