Capogi jr.
Member
- Feb 14, 2014
- 49
- 7
Jamani wapenz wa burudani wa jf mi na swali je umeshawahi kuwasikia GMD BAND. Ni kikund ambacho hutoa burudani ya nyimbo za injili katika matamasha au show binafsi. Ki ukweli hawa watu wamajua kuimba kwa sana wakiongozwa na producer wa GRORY TO GRORY ndugu AHAZ KHALONGOTH. Je unataka wakuletea upako wa burudani yao ya injili katika kumsifu na kumwabudu MUNGU
....... Waweza kufika katika kanisa la JERUSALEM TEMPLE(soko matola,mbeya) na kumulizia AHAZ KHALONGOTH kama mwenyekiti wa kikundi. Kalibu sana.......
....... Waweza kufika katika kanisa la JERUSALEM TEMPLE(soko matola,mbeya) na kumulizia AHAZ KHALONGOTH kama mwenyekiti wa kikundi. Kalibu sana.......