mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,762
asante
Tayari mkuu cheki pm yako
Tayari mkuu cheki pm yako
Tunakutumia mkuu popote pale, tunachora mpaka kazi inakamilika ikifikia hatua yakuframe tunakutumia sample ya kazi yako ilivyotoka then tutakuomba ufanye malipo nakuiframe kazi kisha nakuituma, tumefanya kazi zakutosha tu mkuu za mikoani na zimewafikia wahusikaIvi kwa tulio mkoani tunapataje hii huduma ya kuchora na inifikie? Boss?
Konyo🤣🤣🤣Ila jiwe ana kababy face
🤣🤣🤣Konyo🤣🤣🤣
Kambebisha kwakweli
Si ndio nimeshangaa picha na uhalisia tofautiKambebisha kwakweli
Unaonaje ukinipm picha yako kisha nikuchore?Nitakutafuta mwaya..kweli Raha nijipe mwenyewe
Unataka kunitoa kituko weweUnaonaje ukinipm picha yako kisha nikuchore?