MKETO THE DON
New Member
- Jan 22, 2015
- 3
- 1
Nisaidie hili,
Mfano Wewe ni mkazi wa Tabora ila unafanya kazi Mwanza ukawambia nyumbani wakuolee Mke wakakuolea wakati unakuja kukutana na Mke wako
Ulipofika stend Tabora kabla hujafika nyumbani ukakutana na msichana mzuri ukashawishika. Ukamtongoza mkaenda guest na mkafanya mapenzi, ulipoenda nyumbani ili ukutane na mkeo ukaambiwa amefata nyanya sokoni aliporudi yule msichana kumbe ndio Mke mwenyewe! Uliyekuwa naye gest.
Je, ulizini au ulilala na Mkeo? Na wewe utamchukuliaje mke Huyo? Na yeye atakuonaje mume? Nani malaya? Kati yenu?
Maoni tiririka kwa SMS au mstue mdau mwingine tuone majibu.
Mfano Wewe ni mkazi wa Tabora ila unafanya kazi Mwanza ukawambia nyumbani wakuolee Mke wakakuolea wakati unakuja kukutana na Mke wako
Ulipofika stend Tabora kabla hujafika nyumbani ukakutana na msichana mzuri ukashawishika. Ukamtongoza mkaenda guest na mkafanya mapenzi, ulipoenda nyumbani ili ukutane na mkeo ukaambiwa amefata nyanya sokoni aliporudi yule msichana kumbe ndio Mke mwenyewe! Uliyekuwa naye gest.
Je, ulizini au ulilala na Mkeo? Na wewe utamchukuliaje mke Huyo? Na yeye atakuonaje mume? Nani malaya? Kati yenu?
Maoni tiririka kwa SMS au mstue mdau mwingine tuone majibu.