Je uchaguzi wa ZNZ sasa kuwa March ktk Chaguzi zijazo

Chapa Nalo Jr

JF-Expert Member
Dec 8, 2010
7,515
6,489
Je, tarehe za uchaguzi Bara na Znz kutofautiana chaguzi zijazo. Nauliza hivi kwa vile urais kwa katiba ya znz ni miaka mitano. Kwa uchaguzi huu wa March ni sawa na kusema uchaguzi ujao nao utaangukia March ambapo miaka mitano ya rais anayechaguliwa leo itaisha.
 
Back
Top Bottom