Wakuu wa nchi za Africa wamekutana nchi Ethiopia ambayo ni makao makuu ya Umoja wa Africa huku agenda zao kuu ni pamoja na masula ya usalama, elimu, uchumi, nk.
Nauliza je tuwaamini kwamba watatuletea Amani, elimu bora pamoja na maendeleo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.