Habarini za mchana wana jukwaa.Leo waziri wa fedha na mipango ametoa takwimu kuwa tuna $5911.2 katika hifadhi yetu ya fedha za kigeni je ndugu waziri anamdanganya nani na kwa faida ya nani?na pia ni kwa nini hadi sasa hivi hajakamatwa na kushtakiwa kwa kutoa takwimu ambazo zipo nje ya uwezo wa nchi yetu....
Al-Jumaa Maqbul wana JF...
Al-Jumaa Maqbul wana JF...