ymollel
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 3,096
- 2,279
Kuna maswali mengi sana mitaani watu wakisema mwezi wa sita simu feki zitazimwa.
Kitaalamu na kiuhalisia TCRA hawataizima simu iliyo feki, na si kwamba simu iliyokuwa imewashwa itazimika na kuwa OFF. bali simu isiyotambulika itashindwa kujisajili na kupata mtandao kwa kutumia simcard husika.
Je tutegemee simu bandia zitaonyesha dalili gani.
- Network registration failed.
-cannot register to the network.
-Failed to register.
-registering to the network.......
Etc etc.
Hivyo kama una simu feki sijui
OKIA
NOKLA
SAMSVUNG
BLACKDERRY
SQNY
OKING
simu yako haitazimwa utaweza kusikilizia muziki, na kupiga picha kama ina kamera ya maana.
Kitaalamu na kiuhalisia TCRA hawataizima simu iliyo feki, na si kwamba simu iliyokuwa imewashwa itazimika na kuwa OFF. bali simu isiyotambulika itashindwa kujisajili na kupata mtandao kwa kutumia simcard husika.
Je tutegemee simu bandia zitaonyesha dalili gani.
- Network registration failed.
-cannot register to the network.
-Failed to register.
-registering to the network.......
Etc etc.
Hivyo kama una simu feki sijui
OKIA
NOKLA
SAMSVUNG
BLACKDERRY
SQNY
OKING
simu yako haitazimwa utaweza kusikilizia muziki, na kupiga picha kama ina kamera ya maana.