PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,455
Ni muda sasa nimekua nikitatilia kwa kina habari mbalimbali hapa jamiiforum na baadae jioni huwa naangalia kwenye vyombo balimbali vya habari ili kujirithisha,likini tangu uchagzi wa arumeru umeanza nimejionea tofauti kubwe sana ya habari na kupata maswali megi bila majibu.
MF:jana habari zilizokuwa humu jamvini kuhusu CHADEMA na CCM ni tofauti na vyombo vingine vya habari.wakati CHADEMA ikisifiwa humu jamvini kwa idadi ya watu waliohudhiria kuwa ni wengi sana na kuwa ccm ilikosa watu na wengine kusema hata 50 Hawafuki,habari za tv's zilionyesha kunyume chake tena kwa tofauti kubwa sana.Je shida iko kwa maripota wetu hapa JF au kweye tv's?
au unashauri nini kifanyike ili tuweze kwenda sambamba?
(naomba msinielewe vibaya nikwa nia njema tu.)
MF:jana habari zilizokuwa humu jamvini kuhusu CHADEMA na CCM ni tofauti na vyombo vingine vya habari.wakati CHADEMA ikisifiwa humu jamvini kwa idadi ya watu waliohudhiria kuwa ni wengi sana na kuwa ccm ilikosa watu na wengine kusema hata 50 Hawafuki,habari za tv's zilionyesha kunyume chake tena kwa tofauti kubwa sana.Je shida iko kwa maripota wetu hapa JF au kweye tv's?
au unashauri nini kifanyike ili tuweze kwenda sambamba?
(naomba msinielewe vibaya nikwa nia njema tu.)