Sasa tujiulize Raisi mwenyewe kapatikana kwa kudanganya hata kura hazikuhesabiwa kabisa! Lakini kuna watu tena wengi tu wanajidanganya pamoja na kujua ukweli kwamba tulikuwa na chaguzi.
Kila mtu anajua kesi ya Lissu ni fake lakini bado kuanzia mahakama mpaka watu fulani wana fake kama vile ni kesi ya kweli!
Utekaji unafanywa na Polisi na sio siri lakini mpaka Raisi ana fake kama vile hajui
Sasa je Tanzania tuna tatizo la kiutamaduni kwamba kuna watu wanapenda kuishi kwa kujidanganya fake life au ni nini. Machawa ni mfano wa fake life na utamaduni wa kujidanganya. Inabidi huu utamaduni tuanze kubadilisha kuanzia sasa.
Hongera kuna watu kama Lissu ambao hawako fake
Kila mtu anajua kesi ya Lissu ni fake lakini bado kuanzia mahakama mpaka watu fulani wana fake kama vile ni kesi ya kweli!
Utekaji unafanywa na Polisi na sio siri lakini mpaka Raisi ana fake kama vile hajui
Sasa je Tanzania tuna tatizo la kiutamaduni kwamba kuna watu wanapenda kuishi kwa kujidanganya fake life au ni nini. Machawa ni mfano wa fake life na utamaduni wa kujidanganya. Inabidi huu utamaduni tuanze kubadilisha kuanzia sasa.
Hongera kuna watu kama Lissu ambao hawako fake