Je, Tanzania imekosea wapi pamoja na kuwa na Rasilimali nyingi?

kitoromondo

Member
Mar 26, 2017
64
75
Ardhi huweza kupata laana ikiwa wanaoikalia watafanya mambo kinyume na imani au miiko fulani Tanzania. Mungu ameibariki kwa kila rasilimali ambazo hata hata baadhi ni adimu Duniani hupatikani Tanzania pekee tuna mito ya Maji ambayo hutiririsha Maji yake majira yote ya mwaka. Tuna Ardhi nzuri na kubwa yenye rutuba tuna maziwa lakes makubwa ambapo ndani yake wamo samaki adimu duniani Tuna Mlima Kilimanjaro mbuga za wanyama.

Gasi asilia na mengine Mengi mazuri lkn nini kinasababisha tuwe ombaomba taifa ambalo wananchi wake ni masikini kupindukia kama kweli kuna Manabii wa kweli watuambie wapi tumekosea ili kama Taifa kwa pamoja tutubu Mungu atufungulie baraka ili nasi tufaidi hizi rasilimali Mungu alotupa Manabii wa.

Kweli jitokezeni Mliokoe Taifa la Tanzania.
 
Watanzania waanze na toba. Wapo Watanzania wengi ambao wamefanya mambo mengi yaliyomchukiza Mungu. Kwa mfano, wanaoua maalbino ni matajiri na watu wenye vyeo. Pamoja na hayo, viongozi wa dini zote wahamasishe Watanzania kuwa na hofu ya Mungu (yaani kutokuwa wabinafsi na kupenda wananchi wenzetu, kutoa haki na kujali vizazi vijavyo)
 
Kuua Albino ni laana kubwa sana kwa Taifa vilio vyao havitaisha kwa Mungu.

Kuua wazee kanda ya ziwa kisa macho mekundu ni laana tupu hizo kwa Taifa.

Mikataba ya Serikali yenye maslahi binafsi ni nuksi kabisa kwa Maendeleo na mingi inalitesa Taifa.

Mipango mibovu ya utekelezaji wa Mikakati ya kitaifa.

Uvivu wa Tanzania kuanzia baba MTU mpaka mjukuu.

Wezi na waharibifu wa Mali ya umma kwa faida zao wenyewe
 
hauwez kufanikiwa km kuna watu ambao ni wapenda hela kupta maelezo km mfano km kweny iyo ofic ya serkal ata binafsi kna mchaga au mpare ,hesabu maumivu hao watu ni weka mbali na watoto kweny masuala ya shiling,wapo radhi kuua binasf sijawah kumuona mchaga muaminifu kweny pesa, lakn vile vile tna wakimbiz weng tu ndan ya serkal ambao kwa makusudi wanaeudisha nyuma maendeleo ya nchi,leo hii tanzania shamba la bibi kla mtu anafanya anachotaka tanzania tunao wakongo, waganda ,warwanda na kadhalika tna wana haki kushinda watz ,kwa kumalizia tu watu wa namna hii ni km sumu kwa maendeleo ya nchi, watakao pinga wapinge ila ukwel wanaujua wenyewe
 
Ukipewa kila kitu akili inadumaa angalia mazingira ya nchi zilizoendelea mfano.. israel kwenye kilimo mazingira ni mabaya tena jangwa na hakuna mvua na ardhi haina rotuba ila shida zikawafanya wakapata solution. .. tz kila kitu kipo sasa wanatafura soln ya nn?
 
Ardhi huweza kupata laana ikiwa wanaoikalia watafanya mambo kinyume na imani au miiko fulani Tanzania. Mungu ameibariki kwa kila rasilimali ambazo hata hata baadhi ni adimu Duniani hupatikani Tanzania pekee tuna mito ya Maji ambayo hutiririsha Maji yake majira yote ya mwaka. Tuna Ardhi nzuri na kubwa yenye rutuba tuna maziwa lakes makubwa ambapo ndani yake wamo samaki adimu duniani Tuna Mlima Kilimanjaro mbuga za wanyama.

Gasi asilia na mengine Mengi mazuri lkn nini kinasababisha tuwe ombaomba taifa ambalo wananchi wake ni masikini kupindukia kama kweli kuna Manabii wa kweli watuambie wapi tumekosea ili kama Taifa kwa pamoja tutubu Mungu atufungulie baraka ili nasi tufaidi hizi rasilimali Mungu alotupa Manabii wa.

Kweli jitokezeni Mliokoe Taifa la Tanzania.
 
tumekosea jambo moja kubwa sana, KUWAPA MADARAKA WATU WENYE NIA NJEMA NA VISION NJEMA LAKINI HAWANA UWEZO KUTIMIZA VISION ZAO, wanahangaika tu.
 
Jibu ni rahis sana,,,aidha sisi wenyewe na pia viongozi wetu,,

Kwetu sisi tuna uoga ambao tumeurithi kwa waliotangulia
Pia wengi hatujui vikivyomo nchi hii ni vya nan maana serikali inasema ni vyake na kama vyake it means ni vyetu so yunapowauzia wazungu bila watanzania kujulishwa nasi tumekaa kimya ni kosa letu


Viongozi wanaangalia mbele ila hawaoni mbali,,wangekua wanaona mbaki wangeweka mikataba inayotusaidia sisi wote,then wangetuwekea njia sahihi ya kuwekeza wenyewe ila hvyo vitendea kazi na wataalamu wangetuagizia wao kwa loan,halaf huku tunasomesha wataalam wetu waje kukalia kiti chenyewe..

Mwisho muda mwngi tumekalia umbea na majungu kati yetu sisi kwa sisi,,,hatujui tunataka nn,wale tunaoamin ni wapinzani wa dola hawajui nao wanataka nn japo wana miaka 20 dunian,lakin nao viongoz mpka wanachama wa kawaida wamekua watu wanaosubiri fulani kasema nn waje na hoja nyingiiiiii. Na mbaya zaid wakisema hiki leo kesho wanakigeuka hicho hicho,so hatujapata wapinzani wazur wa kisera ambao wanaweza kaa chini na kuleta mawazo mbadala kwa watawala,,,
 
Jitu limeme ng'ang'ana na CCM kama kupe, badilisha mfumo utakaokuja ukizingua unabadilisha tena utaona maendelo yanavyokuja, Uongozi wa changamoto, sio kila mwaka unavote CCM alafu unalalama
 
Sasa upinzani wenyewe ni kama bendera fata upepo hawaeleweki wataiuza nchi hawa hawana sera ya maana ni majungu tu waweke sera ya maana ili watu tujue na mikakati inayoeleweka siyo kila mmoja anakuwa msemaji tukio likitokea .Du hatari
 
Watanzania waanze na toba. Wapo Watanzania wengi ambao wamefanya mambo mengi yaliyomchukiza Mungu. Kwa mfano, wanaoua maalbino ni matajiri na watu wenye vyeo. Pamoja na hayo, viongozi wa dini zote wahamasishe Watanzania kuwa na hofu ya Mungu (yaani kutokuwa wabinafsi na kupenda wananchi wenzetu, kutoa haki na kujali vizazi vijavyo)
Tanzania haijakosa bali watanzania ndo wamekosa akili ,huwezi kuendelea bila kutumia akili na kuwa na bidii.Si kila mtu aliyefanikiwa aliiba,bali mipango inayotekelezeka ,na bidii ya kufanya kazi ,jumlisha teknolojia hata ikiwa ya kuiba.
Vipi haki za wavumbuzi mbalimbali.
.La muhimu tuache dhambi na kudharauliana.
Ardhi huweza kupata laana ikiwa wanaoikalia watafanya mambo kinyume na imani au miiko fulani Tanzania. Mungu ameibariki kwa kila rasilimali ambazo hata hata baadhi ni adimu Duniani hupatikani Tanzania pekee tuna mito ya Maji ambayo hutiririsha Maji yake majira yote ya mwaka. Tuna Ardhi nzuri na kubwa yenye rutuba tuna maziwa lakes makubwa ambapo ndani yake wamo samaki adimu duniani Tuna Mlima Kilimanjaro mbuga za wanyama.

Gasi asilia na mengine Mengi mazuri lkn nini kinasababisha tuwe ombaomba taifa ambalo wananchi wake ni masikini kupindukia kama kweli kuna Manabii wa kweli watuambie wapi tumekosea ili kama Taifa kwa pamoja tutubu Mungu atufungulie baraka ili nasi tufaidi hizi rasilimali Mungu alotupa Manabii wa.

Kweli jitokezeni Mliokoe Taifa la Tanzania.
 
Ardhi huweza kupata laana ikiwa wanaoikalia watafanya mambo kinyume na imani au miiko fulani Tanzania. Mungu ameibariki kwa kila rasilimali ambazo hata hata baadhi ni adimu Duniani hupatikani Tanzania pekee tuna mito ya Maji ambayo hutiririsha Maji yake majira yote ya mwaka. Tuna Ardhi nzuri na kubwa yenye rutuba tuna maziwa lakes makubwa ambapo ndani yake wamo samaki adimu duniani Tuna Mlima Kilimanjaro mbuga za wanyama.

Gasi asilia na mengine Mengi mazuri lkn nini kinasababisha tuwe ombaomba taifa ambalo wananchi wake ni masikini kupindukia kama kweli kuna Manabii wa kweli watuambie wapi tumekosea ili kama Taifa kwa pamoja tutubu Mungu atufungulie baraka ili nasi tufaidi hizi rasilimali Mungu alotupa Manabii wa.

Kweli jitokezeni Mliokoe Taifa la Tanzania.
Mali muhimu kabisa ni akili, hizi nyingine unaweza kuwa nazo nyingi sana, lakini kamahuna akili ya kuzifanyia kazi, watakuja wengine na kukuibia tu.

Tujikite hapo.
 
Back
Top Bottom