Kachina95
Member
- Mar 7, 2019
- 60
- 210
Nimefikiria sana baada ya kuona picha ya kiongozi mmoja kashikiwa mwamvuli asilowanishwe na matone ya maji huku roho za wananchi wake zikiangamia kwa maji!
Bado nawaza sana, huyu nae ni muAFRIKA mwenzetu?
Au ni beberu lakizungu limevaa kinyago?
Haya mambo niliyaona kwenye vitabu vya history o'level vikionyesha ukatili na uovu wa wakoloni!
Leo nayashuhudia live chini ya serikali ya CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Bado nawaza sana, huyu nae ni muAFRIKA mwenzetu?
Au ni beberu lakizungu limevaa kinyago?
Haya mambo niliyaona kwenye vitabu vya history o'level vikionyesha ukatili na uovu wa wakoloni!
Leo nayashuhudia live chini ya serikali ya CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]