Nilichotegemea kukikuta ndicho nilichokikuta hapa. Bla bla, mara Dini zilaumiwe utafikiri ni Afrika tu ndio tunafuata Dini na bla bla nyengineHeri ya siku ya Uhuru Watanganyika wote.
Habari za saa wanachama wote natumai ni njema, moja kwa moja niende kwenye dhumuni la mada hii.
Mada hii inazungumzia Muafrika na akili , kama ambavyo kichwa cha mada kiulizavyo. Je, waafrika hatuna akili ?kweli au sikweli jibu langu kama mleta mada ni sikweli.
Sikweli kwamba waafrika hatuna akili, jambo ni kuwa waafrika tuna akili Ila sababu kuu ambayo inatufanya sisi waafrika tuonekana hatuna akili ni “Kukosa uhuru wa kuhoji mambo mbalimbali”.
Hari ya sisi waafrika kukosa uhuru wa kuhoji mambo mbali mbali inaathiri mpaka uwezo wetu wa kufikiri, uwezo wa kufikiri ukiisha athirika usitegemee jamii hiyo kuwaza vitu mbalimbali kitofauti kulingana na jamii inavyo vitafsiri.
Uwezo wa kuhoji wa waafrika waliowengi umeathiriwa na mambo yafuatayo:-
i, Elimu isiyo bora
ii, Dini/ kasumba ya dini
iii, Tamaduni mbalimbali
iv, Mifumo ya Kiutawala
Haya ni baadhi ya mambo makuu yanayo minya uhuru wa kuhoji wa mwafrika kitu ambacho hupelekea kuathiri uwezo wa kufikiri wa mwafrika na kupelekea kuonekana kama ni mtu asiye na akili.
Mpaka sasa waafrika hatujawa tayari kupambana na haya mambo yanayo minya uhuru wetu wa kuhoji kitu ambacho kina athiri uwezo wetu wa kufikiri kwa kiwango kikubwa.
Jamii yoyote inayo kosa uhuru wa kuhoji baadhi ya mambo ni ngumu kutambua baadhi ya mambo kwa kina na kwa ubora zaidi.
Waafrika tuta endelea kutambulika na jamii mbalimbali za duniani kama ni watu tulio kosa akili kama hatuta kubali kubadilika na kubadili misimamo yetu juu ya hayo mambo mbalimbali niliyo orodhesha yanayo minya uhuru wetu wa kuhoji.
Elimu tupatayo imeshindwa kumuweka mwafrika kuwa huru kuhoji mambo, tamaduni nazo zina minya uhuru wa kuhoji uhalali wa baadhi ya mambo, dini ndio kabisa zina tengeneza kizazi cha hofu kuliko kizazi cha kuwa huru kuhoji mambo, tawala nazo zina minya kwa kiwango kikubwa uhuru wa kuhoji.
Tuna safari ndefu sana kujenga kizazi bora cha mwafrika kama hatuta taka mabadiliko kwenye hayo mambo baadhi niliyo orodhesha ambayo ni kikwazo kwetu.
Karibuni kwa maoni yenu wadau.
Ndugu umelisoma andiko langu lote kwa makini ? Nime zungumzia tu hicho pekee ulicho andika ? Na nimekizungumzia katika upande upi ? Zingatia haya nililo kuuliza kabla ya kuni jibu.Ni kama nilivyotegemea kukikuta ndicho nilichokikuta. Bla bla, mara Dini zilaumiwe utafikiro ni Afrika tu ndio tunafuata Dini na bla bla nyengine
Asante kwa mchango wako mdau.Ukiangalia swala la " the fear of the unknown" Waafrika wanaongoza. Kila kitu namuachia Mungu. Hasa hizi dini zilizoletwa na Wazungu. Tulishindwa kuhoji na kuacha jadi yetu na kufuata yao . Huo ndio uwezo mdogo wa kufikiria. Ila tuna mambo ya asili kama "mda" , hakika hatuendi na mda. Ni uwezo mdogo wa kufikiria, ukiambiwa njoo saa mbili ukija saa tatu unaona ni kawaida. Huo ni uwezo mdogo wa kufikiri..
Kwangu mimi uwezo wa akili naupima kulingana na namna mtu anavyotambua wajibu wake kikamilifu.Heri ya siku ya Uhuru Watanganyika wote.
Habari za saa wanachama wote natumai ni njema, moja kwa moja niende kwenye dhumuni la mada hii.
Mada hii inazungumzia Muafrika na akili , kama ambavyo kichwa cha mada kiulizavyo. Je, waafrika hatuna akili ?kweli au sikweli jibu langu kama mleta mada ni sikweli.
Sikweli kwamba waafrika hatuna akili, jambo ni kuwa waafrika tuna akili Ila sababu kuu ambayo inatufanya sisi waafrika tuonekana hatuna akili ni “Kukosa uhuru wa kuhoji mambo mbalimbali”.
Hari ya sisi waafrika kukosa uhuru wa kuhoji mambo mbali mbali inaathiri mpaka uwezo wetu wa kufikiri, uwezo wa kufikiri ukiisha athirika usitegemee jamii hiyo kuwaza vitu mbalimbali kitofauti kulingana na jamii inavyo vitafsiri.
Uwezo wa kuhoji wa waafrika waliowengi umeathiriwa na mambo yafuatayo:-
i, Elimu isiyo bora
ii, Dini/ kasumba ya dini
iii, Tamaduni mbalimbali
iv, Mifumo ya Kiutawala
Haya ni baadhi ya mambo makuu yanayo minya uhuru wa kuhoji wa mwafrika kitu ambacho hupelekea kuathiri uwezo wa kufikiri wa mwafrika na kupelekea kuonekana kama ni mtu asiye na akili.
Mpaka sasa waafrika hatujawa tayari kupambana na haya mambo yanayo minya uhuru wetu wa kuhoji kitu ambacho kina athiri uwezo wetu wa kufikiri kwa kiwango kikubwa.
Jamii yoyote inayo kosa uhuru wa kuhoji baadhi ya mambo ni ngumu kutambua baadhi ya mambo kwa kina na kwa ubora zaidi.
Waafrika tuta endelea kutambulika na jamii mbalimbali za duniani kama ni watu tulio kosa akili kama hatuta kubali kubadilika na kubadili misimamo yetu juu ya hayo mambo mbalimbali niliyo orodhesha yanayo minya uhuru wetu wa kuhoji.
Elimu tupatayo imeshindwa kumuweka mwafrika kuwa huru kuhoji mambo, tamaduni nazo zina minya uhuru wa kuhoji uhalali wa baadhi ya mambo, dini ndio kabisa zina tengeneza kizazi cha hofu kuliko kizazi cha kuwa huru kuhoji mambo, tawala nazo zina minya kwa kiwango kikubwa uhuru wa kuhoji.
Tuna safari ndefu sana kujenga kizazi bora cha mwafrika kama hatuta taka mabadiliko kwenye hayo mambo baadhi niliyo orodhesha ambayo ni kikwazo kwetu.
Karibuni kwa maoni yenu wadau.
Trump huyu huyu mwehu ama?? Japo hiyo kauli sidhani kama aliisema (ithibitishe) ila katika watu wako obsessed na sex utawatoa wamagharibi?Trump alisema tunachojua ni ngono tu!
na kuna ka ukweli maana huu uzi ungekuwa unazungumzia mbususu, mpaka sasa ungekuwa na comments 100 kasoro
Thd iishie hapa.
siwezi kuthibitisha, wala sina mamlaka hiyo, lakiniTrump huyu huyu mwehu ama?? Japo hiyo kauli sidhani kama aliisema (ithibitishe) ila katika watu wako obsessed na sex utawatoa wamagharibi?
Mie simuelewi huyu mbuzi
HakikaKutokana na experience, udumavu wa akili wakati mwingine tunautengeneza (create) wenyewe. Sijuwi kwa jirani zetu; Kenya, Uganda, na wengineo, lakini kwetu sisi Watanzania, mtu halijuwi jambo fulani, lakini anajifanya anajuwa.
Tabia hii imetamalaki sana miongoni mwetu, hasa vijana. Unakuta mtu hajuwi jambo fulani, na wakati huohuo yuko mtu anayelijuwa jambo hilo, badala ya kuuliza ili tujuwe, mtu anaona ataonekana mshamba na hivyo kuendelea kubaki nalo moyoni mwake na kutolijuwa jambo hilo.
Nimekaa katika vijiwe mbalimbali, mtu (mwerevu) akiuliza jambo fulani, vijana wa pale kijiweni wanaanza kimzomea na kumcheka huku wakisema 'hata hili hujuwi?'. Kwa mtindo huu, utakuta vijana wengi wanaingia woga wa kudadisi mambo, kwa kuogopa kuchekwa na kuzomewa.
Kwa wenzetu wenye akili zao, hakuna jambo dogo wala kubwa katika kuuliza; jambo lolote analotaka kujuwa anauliza ili apate maarifa. Kila siku tunasema kuuliza sio ujinga, lakini hatujuwi maana ya sentensi hii. Na kwa maana hii, hatutakuja kuerevuka kamwe, tutabaki na ujinga wetu mpaka kiama!