Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,241
- 6,742
Huu ndio ushauri?Simba ni Simba na Yanga ni Yanga, hata jezi zao zipo tofauti. Ni ujinga kuwaza ulivyo waza.
Ikiwa una mahaba na Yanga songa mbele na Yanga yako, tuachie Simba yetu.
Simba ilionekana bora kwakua Yanga ilikua inatembeza bakuli na bado Yanga ilitoa ushindani wa kutosha.Simba miaka 4 iliyopita tulikua bora sana ila hatukuwahi kufikia ubora huu wa Yanga wa miaka hii 2.
Kocha wa yanga yupo Kiwango cha juuSio Kwa Ubaya, Nikiri Wazi Mimi ni Shabiki Kindakindaki wa Simba Sc. Naipenda Hii Timu mnoo. Ila Katika mpira au Biashara yoyote ya Ushindani Ni Vizuri kujifunza Mpinzani wako wa Karibu yeye anafanye ili uweze kufika Mbali.
Simba Sc Tusione Aibu kujifunza Kwa Yanga, Ni hayo tuu.
Na taifa likiwa na watu kama ninyi litauzwa kwa waarabu 😁Huu ndio ushauri?
Dah! Watu mmevurugwa aisee.
MTU kauliza kiungwana, kama Taifa Lina watu kama wewe basi tunasafari ndefu SANA.
Mwache ajitukane mwenyeweUnatafuta kutukanwa na Kambi ya Fisi
Ngao iliyopatikana kupitia Rose Mhando?Kwani wanaocheza vizuri kuliko Simba wanataji gani mpaka sasa au ndo kumfunga KMC goli 5?... Na yule golikipa wa KMC sio bure kuna namna pale yani kuna goli 3 alizofungwa zinawalakini... Halafu Simba inayojitafuta (kwa mujibu wa mleta uzi), tayari wanayo Ngao ya Jamii hivi siku wakijipata itakuaje sasa?...
Umeongea kama mwanamichezo ndugu, ila utafokewa mpaka ujute.Sio Kwa Ubaya, Nikiri Wazi Mimi ni Shabiki Kindakindaki wa Simba Sc. Naipenda Hii Timu mnoo. Ila Katika mpira au Biashara yoyote ya Ushindani Ni Vizuri kujifunza Mpinzani wako wa Karibu yeye anafanye ili uweze kufika Mbali.
Timu Za Simba Na Yanga Zote zilifanya Usajiri kwa Muda unao fanana na Vikosi vyote viliungana kwa Muda Unaofanana.
Wanazi kama hawa ni janga kwa maendeleo ya mpira eti simba ni simba na Yanga ni yanga kwani simba anacheza rede na Yanga anacheza msako?Simba ni Simba na Yanga ni Yanga, hata jezi zao zipo tofauti. Ni ujinga kuwaza ulivyo waza.
Ikiwa una mahaba na Yanga songa mbele na Yanga yako, tuachie Simba yetu.
Huna point... Rejea ubinngwa wa 2022-2023 Mechi za Yanga Vs Geita (A), Vs Azam(H & A), Vs Namungo (A) halaf uendelee kuicheza nyimbo yako pendwa ya huyo Rose Mhando.Ngao iliyopatikana kupitia Rose Mhando?
Mwalimu chuoni hukujifunza athari za lahaja katika lugha?Usajiri❌️
Usajili ✅️
Tusiharibu lugha nzuri.