Je Simba kukutana mapema na Yanga Kuna athari Gani Kwa Simba

Je Simba kukutana mapema na Yanga Kuna athari Gani Kwa Simba

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,854
Reaction score
32,657
Mzee wa VAR Mchome Mapovu anasema kukutana na Yanga mapema kwenye ngao ya Jamii itawavuruga sana huku wakimkosa Jonathan Sowah.
#scopeboii #ScopeMedia

Simba wanasema bado wapo wanajenga kikosi imara Je Baada ya TFF kutangaza ngao ya jamii itakuwa Simba na Yanga ...... automatically hapa inferior ni Simba ..Je Simba akikandwa atapata athari Gani ??
Screenshot_20250821-095226.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Tutapendekeza waamuzi wa michezo yote watakapo kutana wawe ni hawa hapa:-
1. Kefa Kayombo
2. Japhet Smart
3. Tatu Malogo
4. Shomary Lawi
5. Heri Sasii
6. Amina Kyando.

NB: Ahmed Arajiga na Ramadhani Kayoko, marufuku.
 
Mzee wa VAR Mchome Mapovu anasema kukutana na Yanga mapema kwenye ngao ya Jamii itawavuruga sana huku wakimkosa Jonathan Sowah.
#scopeboii #ScopeMedia

Simba wanasema bado wapo wanajenga kikosi imara Je Baada ya TFF kutangaza ngao ya jamii itakuwa Simba na Yanga ...... automatically hapa inferior ni Simba ..Je Simba akikandwa atapata athari Gani ??View attachment 3447780

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Inaelekea wewe ndio Mchone mwenyewe mkuu
 
Naomba kuuliza kwanini tff waamue simba na yanga tu kwani zile timu nyengine vipi
 
Tapeli Kiboko ya wachawi aliwahi sema Tanzania nchi ya ajabu kwamba Lissu yuko mahabusu lakini mtu kama Mwijaku yuko uraiani anatrend mitandoni..
 
Tutapendekeza waamuzi wa michezo yote watakapo kutana wawe ni hawa hapa:-
1. Kefa Kayombo
2. Japhet Smart
3. Tatu Malogo
4. Shomary Lawi
5. Heri Sasii
6. Amina Kyando.

NB: Ahmed Arajiga na Ramadhani Kayoko, marufuku.
Umemkuna rais
1755825257943.jpeg
 
Back
Top Bottom