Je, Shehe wa mkoa anaweza kugombea ubunge?

Je, Shehe wa mkoa anaweza kugombea ubunge?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,534
Nauliza tu waungwana maana niko kwenye kujifunza.

Kwa mfano, shehe wa mkoa wa Dsm alhad Mussa Salum anaweza kugombea ubunge jimbo la Kawe?

Maendeleo hayana vyama!
 
johnthebaptist,

Just imagine. Huku Gwajiboy the porn star. Kule Alhaj Salum. Mtifuano utakuwa mtamu na mwisho utakuwa wa kidini.

Dawa yake ni ipi?

Wote hawatakiwi. Wabaki kwenye uongozi wa dini zao.
 
johnthebaptist,

Just imagine. Huku Gwajiboy the porn star. Kule Alhaj Salum. Mtifuano utakuwa mtamu na mwisho utakuwa wa kidini.

Dawa yake ni ipi?

Wote hawatakiwi. Wabaki kwenye uongozi wa dini zao.
Mtifuano wa kidini tena!!!
 
Mtifuano wa kidini tena!!!
Kuna video clip ya muda ambamo Gwajima anasema ana ndoto ya kugeuza Misikiti kuwa Sunday School.

Akiwa mgombea, mpinzani wake atakuwa na kazi nyepesi sana. Kwanza tayari alishawakwaza ndugu zetu Waislam. Pili kumbuka matusi yake kwa Kardinali Pengo.

Maana yake, miongoni wa Wakristo, asahau kura za Wakatoliki.
 
johnthebaptist,

Just imagine. Huku Gwajiboy the porn star. Kule Alhaj Salum. Mtifuano utakuwa mtamu na mwisho utakuwa wa kidini.

Dawa yake ni ipi?

Wote hawatakiwi. Wabaki kwenye uongozi wa dini zao.
Mtifuano kivipi?
Viongozi wa kiislamu hawana uroho kama viongozi wetu Sisi wakristo
 
Nauliza tu waungwana maana niko kwenye kujifunza.

Kwa mfano, shehe wa mkoa wa Dsm alhad Mussa Salum anaweza kugombea ubunge jimbo la Kawe?

Maendeleo hayana vyama!
1660090_FB_IMG_1514731600839.jpg
 
Maendeleo hayana vyama
Hichi kipengere huwa kinanifanya kufurahia nyuzi zako saaana mkuu

Lakini nionavyo mimi haina shida kabisa shekhe kuwa Mbunge

Kuhusu udini, Kati ya mambo yaliyotuchelewesha Sisi hasa Bala la Africa na Baadhi ya mataifa ya kiarabu, ni udini!

Udini na kuwa mdini haitakiwi iingie nje ya dini, Dini iingie ndani ya dini, nje ya dini iwe ni maendeleo Tu, utakuta watu wazima badala ya kuongelea maendeleo kwenye Baadhi ya ofsi tena za kiserikali (Umma) wamenuniana Kwa Udini, hii ni mbaya na haina maana yoyote

Dini zitufaidishe kuwa na Taifa la watu wema na si vinginevyo,
 
Back
Top Bottom