Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
Rege Mutahaba ni mkurugenzi wa Tanzania House of Talents (THT). Hivi karibuni alifanya interview na blog ya Mo.
Nime quote swali na jibu la kwanza kabisa hapo chini. Unaweza kusome interview mzima kupitia: http://www.mohammeddewji.com/blog/2009/12/exclusive-interview-with-ruge-mutahaba.html#comments
Kwa sababu bwana huyu alizaliwa Marekani, swali moja limeibuka ya kuwa kama yeye ni raia wa Tanzania. Je huyu bwana ni Mmarekani au Mtanzania?
Sheria za uraia za Marekani zinaelezea kuwa mtoto yote atakatezaliwa katika ardhi ya Marekani (ukiondoa wale wanaozaliwa na wazazi walioko ubalozini), wanakuwa raia wa Marekani automatically (unless waukane uraia huo wafikapo miaka 18).
2 Possible sitations za uzaliwaji wa Ruge Marekani:
1) Alizaliwa kutoka kwa mzazi ambaye alikuwa afisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani au UN? Kama mmoja wa wazazi wake alikuwa afisa wa ubalozi, basi hakupata uraia wa Marekani. Alichokipata ni chagua la kuchukua haki ya kudumu ya kuishi Marekani (Green Card). Well, huko mbele angeweza kuja kuchukua uraia huo baada ya kukaa na hiyo GC kwa angalau miaka 5.
2) Alizaliwa kutoka kwa wazazi ambao walikwenda kubeba box Marekani. Hivyo huyu jamaa alipata ganda la huko moja kwa moja.
Je kati ya hizo situation 2, ipi ni ya kweli ya huyu bwana?
Kama ni ya 1, na kama hakuja kuchuka uraia wa U.S. huko mbeleni, basi it's all good. Ni mwenzetu.
Kama ni ya 2, je alipofikisha miaka 18, alichagua uraia wa TZ? Kama alibakia na wa U.S., je ana kibali cha kuishi na kufanya kazi Bongo?
kwani ni kabila gani huyu Bwana?
mi najua kuwa ni Mhaya, na Wahaya ni Watanzania.
je wewe mwenzangu hofu yako ni ipi?