Je, Ruge Mutahaba ni Mtanzania?

Je, Ruge Mutahaba ni Mtanzania?

Status
Not open for further replies.
Rege Mutahaba ni mkurugenzi wa Tanzania House of Talents (THT). Hivi karibuni alifanya interview na blog ya Mo.

Nime quote swali na jibu la kwanza kabisa hapo chini. Unaweza kusome interview mzima kupitia: http://www.mohammeddewji.com/blog/2009/12/exclusive-interview-with-ruge-mutahaba.html#comments



Kwa sababu bwana huyu alizaliwa Marekani, swali moja limeibuka ya kuwa kama yeye ni raia wa Tanzania. Je huyu bwana ni Mmarekani au Mtanzania?

Sheria za uraia za Marekani zinaelezea kuwa mtoto yote atakatezaliwa katika ardhi ya Marekani (ukiondoa wale wanaozaliwa na wazazi walioko ubalozini), wanakuwa raia wa Marekani automatically (unless waukane uraia huo wafikapo miaka 18).

2 Possible sitations za uzaliwaji wa Ruge Marekani:
1) Alizaliwa kutoka kwa mzazi ambaye alikuwa afisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani au UN? Kama mmoja wa wazazi wake alikuwa afisa wa ubalozi, basi hakupata uraia wa Marekani. Alichokipata ni chagua la kuchukua haki ya kudumu ya kuishi Marekani (Green Card). Well, huko mbele angeweza kuja kuchukua uraia huo baada ya kukaa na hiyo GC kwa angalau miaka 5.

2) Alizaliwa kutoka kwa wazazi ambao walikwenda kubeba box Marekani. Hivyo huyu jamaa alipata ganda la huko moja kwa moja.

Je kati ya hizo situation 2, ipi ni ya kweli ya huyu bwana?

Kama ni ya 1, na kama hakuja kuchuka uraia wa U.S. huko mbeleni, basi it's all good. Ni mwenzetu.

Kama ni ya 2, je alipofikisha miaka 18, alichagua uraia wa TZ? Kama alibakia na wa U.S., je ana kibali cha kuishi na kufanya kazi Bongo?


kwani ni kabila gani huyu Bwana?
mi najua kuwa ni Mhaya, na Wahaya ni Watanzania.
je wewe mwenzangu hofu yako ni ipi?
 
Rege Mutahaba ni mkurugenzi wa Tanzania House of Talents (THT). Hivi karibuni alifanya interview na blog ya Mo.

Nime quote swali na jibu la kwanza kabisa hapo chini. Unaweza kusome interview mzima kupitia: http://www.mohammeddewji.com/blog/2009/12/exclusive-interview-with-ruge-mutahaba.html#comments



Kwa sababu bwana huyu alizaliwa Marekani, swali moja limeibuka ya kuwa kama yeye ni raia wa Tanzania. Je huyu bwana ni Mmarekani au Mtanzania?

Sheria za uraia za Marekani zinaelezea kuwa mtoto yote atakatezaliwa katika ardhi ya Marekani (ukiondoa wale wanaozaliwa na wazazi walioko ubalozini), wanakuwa raia wa Marekani automatically (unless waukane uraia huo wafikapo miaka 18).

2 Possible sitations za uzaliwaji wa Ruge Marekani:
1) Alizaliwa kutoka kwa mzazi ambaye alikuwa afisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani au UN? Kama mmoja wa wazazi wake alikuwa afisa wa ubalozi, basi hakupata uraia wa Marekani. Alichokipata ni chagua la kuchukua haki ya kudumu ya kuishi Marekani (Green Card). Well, huko mbele angeweza kuja kuchukua uraia huo baada ya kukaa na hiyo GC kwa angalau miaka 5.

2) Alizaliwa kutoka kwa wazazi ambao walikwenda kubeba box Marekani. Hivyo huyu jamaa alipata ganda la huko moja kwa moja.

Je kati ya hizo situation 2, ipi ni ya kweli ya huyu bwana?

Kama ni ya 1, na kama hakuja kuchuka uraia wa U.S. huko mbeleni, basi it's all good. Ni mwenzetu.

Kama ni ya 2, je alipofikisha miaka 18, alichagua uraia wa TZ? Kama alibakia na wa U.S., je ana kibali cha kuishi na kufanya kazi Bongo?
Wewe una ushahidi wa kutosha jamaa siyo mtanzania? Hizi mada za kubaguana sijui zinawasaidia nini wanaozileta. Dawa ya matatizo yangu hata siku moja haipatikana kwa kumfukuzisha mtu nchi. Italetwa na kutumia kichwa changu kupambana na yanayonizunguka.
 
Wewe una ushahidi wa kutosha jamaa siyo mtanzania? Hizi mada za kubaguana sijui zinawasaidia nini wanaozileta. Dawa ya matatizo yangu hata siku moja haipatikana kwa kumfukuzisha mtu nchi. Italetwa na kutumia kichwa changu kupambana na yanayonizunguka.

Ndahani, umeelewa nilichoandika? Mimi nimeuliza kama ni Mtz kutokana na uzaliwaji Marekani. Kwa hiyo, sina uhakika kama ni Mtz au la.

Mimi kuhoji uraia wake hauna uhusiano wowote na matatizo yangu. Hoja yangu ni katika kuangalia jinsi gani system yetu ya uraia inavyofanya kazi.
 
kwani ni kabila gani huyu Bwana?
mi najua kuwa ni Mhaya, na Wahaya ni Watanzania.
je wewe mwenzangu hofu yako ni ipi?

Eti kweli? Kwa kuwa kazaliwa na wazazi wahaya basi kunamfanya yeye mhaya pia, hata kama kazaliwa nje ya nchi.

Ninawajua baadhi ya watanzania ambao wamezaa watoto wao Marekani, halafu watoto hao wakabakia na uraia wa huko. Je nao ni watanzania pia?

Fikiria!
 
Ze tamu ingefunguliwa tu maana members wao wengi wamekuja humu!!
 
Rege Mutahaba ni mkurugenzi wa Tanzania House of Talents (THT). Hivi karibuni alifanya interview na blog ya Mo.

Nime quote swali na jibu la kwanza kabisa hapo chini. Unaweza kusome interview mzima kupitia: http://www.mohammeddewji.com/blog/2009/12/exclusive-interview-with-ruge-mutahaba.html#comments



Kwa sababu bwana huyu alizaliwa Marekani, swali moja limeibuka ya kuwa kama yeye ni raia wa Tanzania. Je huyu bwana ni Mmarekani au Mtanzania?

Sheria za uraia za Marekani zinaelezea kuwa mtoto yote atakatezaliwa katika ardhi ya Marekani (ukiondoa wale wanaozaliwa na wazazi walioko ubalozini), wanakuwa raia wa Marekani automatically (unless waukane uraia huo wafikapo miaka 18).

2 Possible sitations za uzaliwaji wa Ruge Marekani:
1) Alizaliwa kutoka kwa mzazi ambaye alikuwa afisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani au UN? Kama mmoja wa wazazi wake alikuwa afisa wa ubalozi, basi hakupata uraia wa Marekani. Alichokipata ni chagua la kuchukua haki ya kudumu ya kuishi Marekani (Green Card). Well, huko mbele angeweza kuja kuchukua uraia huo baada ya kukaa na hiyo GC kwa angalau miaka 5.

2) Alizaliwa kutoka kwa wazazi ambao walikwenda kubeba box Marekani. Hivyo huyu jamaa alipata ganda la huko moja kwa moja.

Je kati ya hizo situation 2, ipi ni ya kweli ya huyu bwana?

Kama ni ya 1, na kama hakuja kuchuka uraia wa U.S. huko mbeleni, basi it's all good. Ni mwenzetu.

Kama ni ya 2, je alipofikisha miaka 18, alichagua uraia wa TZ? Kama alibakia na wa U.S., je ana kibali cha kuishi na kufanya kazi Bongo?

unacho kiandika kama ukijui.ruge mtahaba
unamjua prof mtahaba
huyo ndio baba yake mzazi na ni ma prof wakubwa hapo chuo kikuu UDSM.
maisha na familia ya ruge wamekaa sana kama ulaya na cv unayo hipata hapo.
 
Hilo ungelifanya mapema hivi sasa halina mshiko. Hata tukikuta ni mmarekani tutafanya nini wakati maji ya meisha mwagika?
Kahuna shida yangu. Swala ni kuhoji haki ya Ruge kuishi na kufanya kazi Tanzania, kama vile tunavyohoji uraia wa baadhi ya watu tunaowatilia mashaka uhalali wao wa kuishi na kufanya kazi Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom