Niliwahi post humu mara kadhaa,Spika wa sasa ni mmoja ya watu ndani ya CCM wanao ombea viongozi wa ufisadi msamaha kwa Raisi.Tulia hawezi ruhusu mjadala wa ufisadi Bungeni na haitakaa itokee kwa sababu yeye ndio anaye tumika sana kuwaombea msamaha kwa Mama.
SPika ndio kiongozi alioko madarakani anaye tumika wengine wote ni wastafu wakina Kikwete,Mizengi Pinda na Yusufu Makamba.
Tulia Akson anatumika sana kwa saba inaaminika ana nguvu sana na hakuna atakacho mshauri Raisi akatae.
Asilimia 50 ya walio tajwa kwenye report ya CAG wameombewa msamaha na Tulia.na idad inayo bakia imeombewa na Viongozi wengine wastafu.
Hakuna mjadala unao husu ufisadi utaweza kujadiliwa bungeni kama Tulia akiwa Spika.