Je, Rais Samia amesema kweli?

Je watanzania hawana uelewa wa katiba ?


  • Total voters
    5
  • Poll closed .

Basi Nenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
20,789
Reaction score
47,984
Leo jumatatu, Septemba 11, 2023 nimemsikia Rais wa Tanzania akisema hivi;
1. Anadai wanaotaka katiba mpya hawajui ni vifungu gani vibadilishwe
2. Anadai katiba haiwezi kuleta maendeleo
3. Kwa kifupi anasema wanaoomba katiba mpya hawajui chochote kile

Je, Rais kama kweli aliuliza watu wawili watatu kuhusu katiba, je watu hao wana upeo gani kuhusu katiba/Dunia, vipi kama waliogopa kumpa majibu sahihi

NB
Uzi huu usiwekwe kwenye uzi mwingine, mimi nataka kupata tu maoni ya wananchi kuhusu swali langu hilo hapo juu, na sijaonesha dalili yoyote ya upande wangu wa kisiasa.
 
Tuma basi clip ya alichokisema,
Natamani kumsikia!
 
Ameshakuwa miongoni wa madaktari wa falsafa, kwa sasa naye yupo ndani ya kundi la "elites" wachache ndani ya CCM. Kwa kuwa wao wenyewe tu ndiyo pekee wenye uelewa wa kina kuhusu katiba.

Wao tu ndiyo wenye haki miliki ya kutoa tafsiri ili wengine waielewe. Wao ndio pekee wanaweza kujua hili baya na lile ni zuri, na wana uwezo wa kufikiri kwa niaba ya Watanzania wapatao milioni 62 na ushee. Wakijiridhisha kuwa watu hawana uelewa wa kina, basi hakuna haja ya kuwa na katiba mpya. Vigezo vitakavyotumika ili wapate kujiridhisha itategrmeana ma "value of judgement" yao, na tena waliojiwekea wao wenyewe.
 
Ajabu anasema katiba si kitu na si maendeleo, ila anasahau yeye kakaa kwenye kiti cha uongozi kupitia katiba. Anafanya hizo teua na teuzi kupitia iko kitabu ambacho leo tunaona hakina maana
Ndomana hakuna haja ya katiba mpya iliyopo inatosha.
 
Nimeshangaa sana maneno ya Mheshimiwa Rais.
 
Mods niliweka poll mkatoa,nimeweka tena, mkitoa poll mnaondoa lengo la uzi wangu
 
Ni mpumbavu na hajitambui, Kama anaona katiba si kitu maana yake hajui hata yeye kuwa hapo ni kwa mjibu wa katiba!. Kuwa na Rais muiba taarabu ni ujinga mkubwa.... Rais hajui hata umhim wa katiba kimaendeleo? Pumbavu zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…