Picha Ya Lowassa Inasababisha Nyumba Yangu Kuvutia.
Habari,
Je, nyumbani kwako kunavutia na kuwa eneo zuri zaidi la kupumzika?
Kama jibu lako ni ndio tiririka hapa.
Je, ni vitu gani vinaifanya nyumbani yako kuwa sehemu nzuri.
Je, ni mpangilio gani unafanya nyumbani yako kuwa sehemu salama.
Karibu.
Picha Ya Lowassa Inasababisha Nyumba Yangu Kuvutia.
Hii, Ram nimekuwepo jijini kwenu kwa 2weeks mbona sijakona kukusikia wewe?!!?Kutakuwa na majini hapo, miaka mitatu?
Hii, Ram nimekuwepo jijini kwenu kwa 2weeks mbona sijakona kukusikia wewe?!!?
Kuhusu majini siyo issue...!! Sote ni viumbe tunaishinao mzungukoni..... ni namna ya kujikinga nao tu!!
Uzi mzuri watu wanabwatuka kama watoto wa sekondary.
Hii, Ram nimekuwepo jijini kwenu kwa 2weeks mbona sijakona kukusikia wewe?!!?
Kuhusu majini siyo issue...!! Sote ni viumbe tunaishinao mzungukoni..... ni namna ya kujikinga nao tu!!
kwaiyo yapo???? mana nlitaka niombe hifadhi "kwa muda"
Tehtehteh.......utapaweza basi?
Miaka mitatu kakosekana mtu leo wewe....!
Uzi mzuri watu wanabwatuka kama watoto wa sekondary.
Ayanda karibu sana... Ufungo nakukabidhi, ila ujue kujisomea na ujilinde khaswa!!kwaiyo yapo???? mana nlitaka niombe hifadhi "kwa muda"