Je nitapata diploma ya pharmacy?

Je nitapata diploma ya pharmacy?

sio ajabu

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2015
Posts
217
Reaction score
138
Wakuu habari.

Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu kombi CBG nimepata D E E .. O level sikufanyia PHYSICS mtihani .., je kulingana na kutokuwa na physics O LEVEL je nitaweza kubaliwa kusoma DIPLOMA YA PHARMACY ?
 
Kama una C C for biology na chemistry unapata mkuu... For more infos drop in health guide book 2017/2018
 
Mimi nilipata Bios C, Chemistry C, Maths C, English C, kuna vyuo kama viwili wamesema pharmacy naweza kusoma ispokuwa clinica medicine/officer, Medical kab, physiotherapyy na zingine za afya.....cha kushangaza humu watu wanadai huwezi soma pharmacy bika phys
 
Mnangaika nyie vijana na macourse magumu ayo ajira zenyewe akuna kasomeni bcom tuu co lazima ayo macourse ya afya kwanza gharama...someni hata account,procurement,business administration mbn kazi zake zipo nyingi sana afu pia co kozi ngumu shuleni mishahara yake kazini mikubw kuliko awo watu wa afya afu pia mishemishe kibao za pesa 50k,au 30k per day mtu ukosi me nashangaa mnangaika na iyo micourse ya afya...
 
Mnangaika nyie vijana na macourse magumu ayo ajira zenyewe akuna kasomeni bcom tuu co lazima ayo macourse ya afya kwanza gharama...someni hata account,procurement,business administration mbn kazi zake zipo nyingi sana afu pia co kozi ngumu shuleni mishahara yake kazini mikubw kuliko awo watu wa afya afu pia mishemishe kibao za pesa 50k,au 30k per day mtu ukosi me nashangaa mnangaika na iyo micourse ya afya...
Ulipo Moyo wako ndipo Ilipo hazina yako wasome wanacho penda
 
Back
Top Bottom