Yohana Daniel
Member
- Mar 18, 2018
- 59
- 25
Habari za sasa ndugu zangu mimi sio mgeni ila ni mara ya kwanza kuandika katika jukwaa la Sheria.
Naomba msaada wa kisheria kwa kilichonikuta mwenzenu, hapa nilipopanga kuna mita ya maji imeharibika sababu watoto wanaichezea
Kinachotakiwa ni kwamba tunatakiwa tuchange kuinunua wapangaji wote, hiyo sio shida saana tatizo ni kwamba mpangaji mwenzangu analazimisha nitoe pesa leo hiihii hata kama sina nikakope ili nilipie hiyo mita tena kwa matusi ya nguoni kanimwagia afu kaingia mpaka chumbani kwangu bila hodi
Kibaya zaidi huyu mpangaji yeye kahamia juzi ni mgeni,bahati nzuri nimemrekodi mwanzo mwisho alichonifanyia naomba msaada nimfanyaje Huyu Asanteni.
Naomba msaada wa kisheria kwa kilichonikuta mwenzenu, hapa nilipopanga kuna mita ya maji imeharibika sababu watoto wanaichezea
Kinachotakiwa ni kwamba tunatakiwa tuchange kuinunua wapangaji wote, hiyo sio shida saana tatizo ni kwamba mpangaji mwenzangu analazimisha nitoe pesa leo hiihii hata kama sina nikakope ili nilipie hiyo mita tena kwa matusi ya nguoni kanimwagia afu kaingia mpaka chumbani kwangu bila hodi
Kibaya zaidi huyu mpangaji yeye kahamia juzi ni mgeni,bahati nzuri nimemrekodi mwanzo mwisho alichonifanyia naomba msaada nimfanyaje Huyu Asanteni.