Je kusoma nakuwa mafisadi... Wezi na wahujumu uchumu..mada yako nzuri bt umeitia makoro koro mengi, kitu pekee unapaswa kujua ni kua kusoma na kuelimika ni kuongeza upeo wa maarifa bt upeo huo hauwezi kumzuia mtu kufanya starehe yeyote, HUKO KUSOMA NA KUELIMIKA hakuwezi kuondosha matamanio ya mwanadam ambayo ni nature, matamanio ambayo ndo hua chanzo cha ukosefu wa mwanadam YEYOTE, tizama hata maandiko yameeleza namna mitume walivyokengeuka na kumkosea muumba wao ajili ya natural desire, inshort binadam yeyote bila kujali kasoma au lah huponzwa na matamanio HAYA ambayo ndo hupelekea kukosea OVA
mkuu natural desire imetamalaki katika kila jambo, mwanadam anapokuwa na matamanio, yale matamanio ndo huifundisha akili cha kufanya ndo maana majuto huja baadae, fisadi hana tofauti na mwizi or kibaka ambae matamanio yake hua ni kukipata anachokitamani bila kujali yupo sahih au laJe kusoma nakuwa mafisadi... Wezi na wahujumu uchumu..
Nayo Ni matamanii?
Kuna hoja kwenye bandiko lako zenye maana sana. Elimu uliyoijadili inalenga wanaume zaidi na kuwaacha kando wanawake. Wasomi wengi wanahusika na tuhuma hizi.Nikweli hizi data. Nimechukua zaidi kwenye vyombo vya habari na Experience yangu...Wasomi ndo wanabuni namna za kutapeli Watu KILA kukicha...wasomi Wanatumia Elimu zao kuibia wateja na waajari wao katika Mabenki...
Wasomi ndo wapo mstari wa kutaka mafanikio yaharaka...hivyo hula rushwa na wengine wakiishia Jela..
Wasomi wetu kutaka mafanikio ya haraka ndo insababisha kufanya mambo Ajabu..
Lakini Hawa wasomi Somo la Ethics huwa hawalielewi au wanapuuza?
Mkuuu...nikianza kuweka MAJUTO yangu humu... Itabidi nifungue uzi.. Ila usomi was mtu na kuelimika huonekana kwenye matendo Yake...Sio KWENYE PhD zake..Hebu tuanze na Wewe Kwanza je, Mwenzetu Wewe Umesoma na Kuelimika au kuna 'Kimojawapo' hapo 'umekikosa' na pengine unakijutia mno tu?
Sasa Kama mtu anamadegree lakini mawazo Yake Ni kuiba na kudhulumu na kunyang'anya... Je hii Elimu yetu inatusaidiaje kuwa msaada katika jamii yetu.mkuu natural desire imetamalaki katika kila jambo, mwanadam anapokuwa na matamanio, yale matamanio ndo huifundisha akili cha kufanya ndo maana majuto huja baadae, fisadi hana tofauti na mwizi or kibaka ambae matamanio yake hua ni kukipata anachokitamani bila kujali yupo sahih au la
Sawa ila unabet kwa akiliUtabet ukifika Miaka 36 . Unasema umekata tamaa unataka kujiua..
Inabidi TUBUNI namna yakufanya tuweze kupata kipato vinginevyo wasomi tutaonekana hatuna Maana..
Na kubet ni kamali ... Omba Mungu usiwe addicted.
mkuu kwanza unapaswa kujua kua elimu ni nyenzo ya kiutendaji na wala sio nyenzo ya kudhibiti matamanio ya mwanadam ambayo ni nature, kitu pekee kinachoweza kukusaidia kuyadhibiti walau kwa uchache matamanio ya mwanadam ni malezi na imani hivo usijidanganye kwa kua umesoma maadili ya kazi basi ndo utaepukana na adha za matamanio, sie binadam si wakamilifu hivo hata tujitahidi kuwa wakamilifu abadani hatutoweza hiyo ndio nature yetu, wala kuelimika hakuna uhusiano wowote na matendo yatokanayo na matamanio.Sasa Kama mtu anamadegree lakini mawazo Yake Ni kuiba na kudhulumu na kunyang'anya... Je hii Elimu yetu inatusaidiaje kuwa msaada katika jamii yetu.
Je kukosa Ethics katika kazi kwa wasomi wengi ...Tena wengi wanasoma hii ethics zafani zao... Je ume elimika
Nimekuelewa mkuumkuu kwanza unapaswa kujua kua elimu ni nyenzo ya kiutendaji na wala sio nyenzo ya kudhibiti matamanio ya mwanadam ambayo ni nature, kitu pekee kinachoweza kukusaidia kuyadhibiti walau kwa uchache matamanio ya mwanadam ni malezi na imani hivo usijidanganye kwa kua umesoma maadili ya kazi basi ndo utaepukana na adha za matamanio, sie binadam si wakamilifu hivo hata tujitahidi kuwa wakamilifu abadani hatutoweza hiyo ndio nature yetu, wala kuelimika hakuna uhusiano wowote na matendo yatokanayo na matamanio.
ahsante kwa kunielewa japo haikua kazi rahisiNimekuelewa mkuu
Haya kama huaminiHuko kubet ndo.kutakupa utajiri?.. Nyie vijana ndo mnafanya tunachelewa kuwa dona kantri
We upo no ngapu apo au we sio msomi.?Wasomi wengi ni wezi wanaibia makampuni.
Wasomi wengi ni wapiga deal
Wasomi ni watakatishaji fedha
Wasomi Ndo washinda wanabet kwenye kamari
Wasomi Ndo wazinifu na wenye kusifia huu uchafu, kuhalalisha uchepukaji
Wasomi wengi hujaza mabaa na makumbi ya starehe wakilewa
Wasomi wengine hubaka nakusingizia walishindwa kuzuia tamaa za mwili.
Sijasema wasomi wote.
Ila vijana wana mentality ya kutusua maisha bila kujali njia ilimradi awe na gari na nyumba na amiliki pisikali.
Je, msomi bila Maadili binafsi atakuwa na msaada katika jamii Yake?