Je, nina ugonjwa wa moyo au nini?

Kama ni Moyo chukua kipande cha wastan cha muhogo mbichi, saga kwenye blender kwa maji kiasi hadi ilainike vizuri,

Chukua yai moja la kienyeji bichi changanya na asali mbichi kijiko kimoja, piga piga hadi vyote vilainike pamoja,

Chukua ule mchanganyiko wa muhogo changanya na mchanganyiko wa asali na yai, weka kwenye glass kunywa, hakikisha unakunywa asubuhi kabla hujala kitu na usiku wakati wa kulala,

Endelea kutumia kwa siku 40, lakini matokeo utayapata ndani ya siku 7 tu,

MUHIMU: Mchanganyiko huo unaweza ukakukera wakati wa kunywa unaweza hata kutaka kutapika, jikaze ni dawa lakini pia unashibisha sana, usiogope ukiona tumbo limejaa.
Shukrani sana ntalifanyia kazi
 
Nitangulize shukrani kwenu nyote wana JF, kwa kazi nzuri ya kuelimishana juu ya mambo mbalimbali katika jamii yetu, Shukrani sana ziwafikie.

Nimekuwa, na tatizo au maumivu makali sana kifuani upande wa kushoto wa moyo ambayo hayana kikomo, (naumia kila muda usiku mchana) bila hata kufanya kazi yoyote naumia.

Maumivu usambaa mpaka nyuma mgongoni chini ya scapular yanauma mithili ya mtu anayechomwa na kisu au kitu chenye ncha kali au mgandamizo kama kuna jiwe kubwa.

Nimefanya baadhi ya vipimo x-ray mala mbili ambapo mwanzo ilionekana nina pneumonia, na mala ya pili ikaonekana sina tena pneumonia, wala shida ya moyo kwa kipimo hicho cha x-ray.

Nimepima pia ugonjwa wa figo nikaambiwa nina vitu kama vidonda vidonda vidogo kwebye figo ambapo nilipewa dawa lakini tatizo ilo halikuisha, daktari mwingine akanambia labuda nitakuwa na ulcers, na niko na dalili za ulcers lakibi je ndo nipate maumivu makali kiasi icho, dr alienda mbali akahusisha maumivu hayo na kuziba kwa mishipa ya damu au Angina lakini yote hayo sijajua nini shida.

Naomba kwa mwenye Utaalamu kuhusiana na magonjwa ya moyo au mapafu anipe mwanga nifanye nini nipime kipimo gani, au niende wapi ili nisolve tatizo kwani nimekuwa nalo yapata miaka 5 sasa.

Natanguliza shukrani.

View attachment 1740697
Kwa maelezo yako uliyo yaweka utakuwa unayo maradhi ya figo lina matatizo sio Moyo. Jaribu dawa za hospitali na fuata ushauri wa watu waliokwambia ukapime vipimo vyote ikiwa havikuonyesha maradhi nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia ili uweze kupona maradhi yako uguwa pole.
 
Kwa maelezo yako uliyo yaweka utakuwa unayo maradhi ya figo lina matatizo sio Moyo. Jaribu dawa za hospitali na fuata ushauri wa watu waliokwambia ukapime vipimo vyote ikiwa havikuonyesha maradhi nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia ili uweze kupona maradhi yako uguwa pole.
Shukrani mkuu
 
Back
Top Bottom