Je? Nikweli kunaupendo hapa

Je? Nikweli kunaupendo hapa

pure crazy

Senior Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
190
Reaction score
37
Habaar ya asubuh wana Mmu nahisi wote mtakuwa ni buheri wa afya njema na juma pili itakuwa njema.

Jana niliomba ushauri juu ya mpenzi wangu ambaye nilitarajia kwenda kwao kujitambulisha lakin kwa namna moja ama nyingine haikuwa hivyo kwa sababu yeye ni muhitimu wa chuo na anasubir ajira kwahyo akasema hadi pale atakapo pata ajira ndio yaweza kuwa mwanya mzur kwangu kujitambulisha huyu dada ambaye ni mpenzi wangu anamtoto mmoja na tulipo anzisha nae mahusiano aliniweka wazi kuwa alipokuwa kidato cha sita alipata ujauzito huo akazaa kisha muda wakwenda chuo ulipofika akaendelea na masomo yake.

Jana tumeonge vizur juu ya mahusiano yetu kuwa jinsi itakavyo kuwa lakin baada ya muda nikaamuliza uko tayar nikawa mumeo alisema no si sikuamin kwasababu nampenda natunapenda nikamuuliza kwann akadai kuwa tatizo tatizo kanizidi 2year yeye 26mimi nina24naleo ananipigia simu sana kuwa umechukia nilivyo kwambia jana nikawa najibu hapana sijachukia kanipigia karibun mara nne na mara ya mwisho kanipigia haongei ananisikiliza mimi mie nikawa na msikiliza yeye coz yeye kapiga je kuna umuhimu kuwa na mtu kama huyu kwa ufahamu wangu unapokuwa unasema unampenda mtusidhani kama unaweza ukawa na sababu hii mara hiyo na kitu kingine ananambia im sorry kwmaamuzi niliyochukua sasa ananipigia sm arafu haongei uko ofisin saiz yaan simuelewi je nifanyeje niko tayar kwa ushauri kwan mpezi wangu simuelewi kabisa plz nishauri vzur kunisaidia jumapil njema na je nisipokee sim yake au nipokee ila niwemsikilizaji nilimpenda vitu vingi sana niliplani kufanya nikiwa nae nae alifaham hvyo
 
Habaar ya asubuh wana Mmu nahisi wote mtakuwa ni buheri wa afya njema na juma pili itakuwa njema.

Jana niliomba ushauri juu ya mpenzi wangu ambaye nilitarajia kwenda kwao kujitambulisha lakin kwa namna moja ama nyingine haikuwa hivyo kwa sababu yeye ni muhitimu wa chuo na anasubir ajira kwahyo akasema hadi pale atakapo pata ajira ndio yaweza kuwa mwanya mzur kwangu kujitambulisha huyu dada ambaye ni mpenzi wangu anamtoto mmoja na tulipo anzisha nae mahusiano aliniweka wazi kuwa alipokuwa kidato cha sita alipata ujauzito huo akazaa kisha muda wakwenda chuo ulipofika akaendelea na masomo yake.

Jana tumeonge vizur juu ya mahusiano yetu kuwa jinsi itakavyo kuwa lakin baada ya muda nikaamuliza uko tayar nikawa mumeo alisema no si sikuamin kwasababu nampenda natunapenda nikamuuliza kwann akadai kuwa tatizo tatizo kanizidi 2year yeye 26mimi nina24naleo ananipigia simu sana kuwa umechukia nilivyo kwambia jana nikawa najibu hapana sijachukia kanipigia karibun mara nne na mara ya mwisho kanipigia haongei ananisikiliza mimi mie nikawa na msikiliza yeye coz yeye kapiga je kuna umuhimu kuwa na mtu kama huyu kwa ufahamu wangu unapokuwa unasema unampenda mtusidhani kama unaweza ukawa na sababu hii mara hiyo na kitu kingine ananambia im sorry kwmaamuzi niliyochukua sasa ananipigia sm arafu haongei uko ofisin saiz yaan simuelewi je nifanyeje niko tayar kwa ushauri kwan mpezi wangu simuelewi kabisa plz nishauri vzur kunisaidia jumapil njema na je nisipokee sim yake au nipokee ila niwemsikilizaji nilimpenda vitu vingi sana niliplani kufanya nikiwa nae nae alifaham hvyo

We kwa nn unachukua vijeba kwani wa umri wako hakuna? Huyo kaona mbali sana,anajua akikubali kuolewa na wewe utamsumbua baadae kwa sababu kibaiolojia yeye atawahi kuzeeka kabla ya wewe? Kijana unapenda kubemendwa
 
Hiyo ni sababu lakin yakurelate kukwambia im not ready kuwa na wewe na kimgine kwann awena maswali haya umeumia alafu call za nn sasa wakati umenipiga chin je nifanyeje nami nitulie au bp
 
Hiyo ni sababu lakin yakurelate kukwambia im not ready kuwa na wewe na kimgine kwann awena maswali haya umeumia alafu call za nn sasa wakati umenipiga chin je nifanyeje nami nitulie au bp
Kabla sijaendelea kukushauri niambie uko form ngapi maana huu uandishi wako unatia mashaka kidogo
 
Kwahyo just niachane nae au nifanye nn kwa ushaur
 
Yahh cha nne tu sio msomi mimi jaman ndio mana nauandishi si mzur nahitaji ushaur
 
Yahh cha nne tu sio msomi mimi jaman ndio mana nauandishi si mzur nahitaji ushaur

umeona sasa!! Dogo soma kwanza usikimbiliie kubeba majukumu yaliyokuzidi uwezo....... Amegundua wewe unataka kuoa kwasababu ya kukidhi haja ya kitandan tu.......... Baadaye utakuja kumwacha tu. Hebu achana naye haraka sana.. Leka amatingo gwe kana gwe kanini. Embwele jikwitaga ndukama
 
Hiyo ni sababu lakin yakurelate kukwambia im not ready kuwa na wewe na kimgine kwann awena maswali haya umeumia alafu call za nn sasa wakati umenipiga chin je nifanyeje nami nitulie au bp

andika vizuri basi!

kwanini uminye herufi wakati umekuja kwa jambo serious?

au na mpenzi wako kuna vitu unamminyia ndio maana anataka kwenda zake?
 
Tafuta age mate wako au below! Pili wekeza akili yako na nguvu zako shule' mengine hayo utayakuta tu.
 
Dogo unaonekana hako kadude kako kanakusumbua sana.miaka 24 unaanza kusumbua mama zako,hv umeacha bangi?
 
We mtoto naomba usituletee mapenzi ya kwenye filamu za kina kanumba.
 
nimejaribu kusoma mstaru kwa mstari nikaona sielew kabisaaa. ikabidi nisome kwa kutumia ubongo wa tatu. ndi nikaelewa.

ushauri:- we jamaa huwezi oa mtu anayekuzidi 2years. huyo anatakiwa aolewe na mtu anayemzidi 5- 10 years. ambaye kwako ni sawa na baba mdogo wako.
 
Kama hataki usimlazimishe, hakuna future nzuri kati yenu. Elimu yako na umri wako sio tatizo hata kidogo, ila chagua mwingine mtakayependana then uje tena hapa. Kwanza mwenzako ashapiga copy, tafuta uterus isiyotumika muanze maisha pamoja. In short huyo dada hakupendi, na usilazimishe! Ka ushauri kadogo tu, chagua uliye mzidi twu miaka angalau tuwili then marry her
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom